Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Mtu aliyethubutu kumpinga Dkt. Mpango siwezi kumteua nafasi yoyote

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Mtu aliyethubutu kumpinga Dkt. Mpango siwezi kumteua nafasi yoyote

Rais amesema anashangaa sana kuona mtu anajitokeza kumpinga Dkt. Mpango, kwani kwa namna Dkt. Mpango alivyosimamia uchumi vizuri, hakupaswa kupingwa na mtu yeyote.

Cha ajabu ni kwamba, muda mfupi kabla ya kusema hayo mheshimiwa alisifia ukomavu wa demokrasia ndani ya CCM.
Hajui atendalo ndio maana tunamtaka Lissu
 
Ccm na hasa hasa Magufuli hajawahi kuheshimu box la kura. Usitake kujifanya ccm itashinda kupitia box la kura.
Huyo Lissu apigiwe kura na mikoa yote ya Tanzania na kura zihesabiwe hadharani, bado atashindwa na Magufuli hata kama Magufuli atapigiwa kura na Mkoa mmoja tu. Watu hawampendi Lissu, hana mvuto wa kupendeka. Hana maneno mazuri wala sio handsome. Mgombea anaweza kukosa sera akawa na sura nzuri ( Joe Biden) au akawa sio mzuri lakini ana sera nzuri ( Benjamin Mkapa ). Sifa kama hizo ndizo zilizofanya chama cha Democrat kikamuacha Bernie Sanders 2016 na 2020. Kuna watu tunaishi nao kwa kuwavumilia.
 
Rais amesema anashangaa sana kuona mtu anajitokeza kumpinga Dkt. Mpango, kwani kwa namna Dkt. Mpango alivyosimamia uchumi vizuri, hakupaswa kupingwa na mtu yeyote.

Cha ajabu ni kwamba, muda mfupi kabla ya kusema hayo mheshimiwa alisifia ukomavu wa demokrasia ndani ya CCM.
Mwambieni mtukufu maisha bila ya teuzi zake yanawezekana,akajifunze kwa alio watumbua na wale walionyimwa teuzi zake.
 
Huyo Lissu apigiwe kura na mikoa yote ya Tanzania na kura zihesabiwe hadharani, bado atashindwa na Magufuli hata kama Magufuli atapigiwa kura na Mkoa mmoja tu. Watu hawampendi Lissu, hana mvuto wa kupendeka. Hana maneno mazuri wala sio handsome. Mgombea anaweza kukosa sera akawa na sura nzuri ( Joe Biden) au akawa sio mzuri lakini ana sera nzuri ( Benjamin Mkapa ). Sifa kama hizo ndizo zilizofanya chama cha Democrat kikamuacha Bernie Sanders 2016 na 2020. Kuna watu tunaishi nao kwa kuwavumilia.

Duuu kazi ipo.
 
Kwani mimi CHADEMA?

Au una mawazo potofu kwamba kila anayemsema Magufuli ni CHADEMA?

Hujagusia hata hoja moja niliyotoa mimi.

Unaniletea habari za CHADEMA ambazo mimi sijazitaja popote.
Haya ni moja mambo ya hovyo humu jf kudhania kila mwana jf ni mwanachama wa chama fulani.
 
Sasa unataka ampende anayempinga.
Ndiyo nyie mtu akileta upingaji wa kijinga mnamsifia ni professional. Yaleyale ya CAG kujisahau kwamba anafanya kazi kwa niaba ya Bunge. Anakagua serikali na kupeleka bungeni ambalo ndiyo linawajibu wa kuisimamia serikali.

Angalia katimiza wajibu wake? Kasimamia uchumi vizuri? Yes uchumi umekua, indicatators zote zinafanya vizuri, makusanyo mazuri, sera nzuri zinazochochea kukua kwa sekta mbalimbali za kiuchumi. Nk.

Ndiyo nyie hata bungeni mkiona serikali inapingwa bila sababu za msingi mnamkosoa Spika eti dhaifu! Sifa za kijinga zitawadanganya watu zaifu kama Membe

Ushauri wa Mpango kwa JIWE nchi imepata kuwa uchumi wa kati lakini ni nchi ya 8 [NANE} toka ya mwisho duniani kwa umasikini!!! Halafu mnajisifia nchi yenu ni tajiri!!!

Mpango kwa kujipendekeza kwake amesahau yale aliyofundishwa pale idara ya Uchumi UDSM; ngoja nimkubushe machache, ILI NCHI IPATE MAENDELEO MSHAURI JIWE LAZIMA AFUATE YAFUATAYO;-

1.TEUZI ZISIFUATE UKABILA WALA UDUGU AU URAFIKI BALI WELEDI, KUWA MPWA SIO SIFA YA KUPEWA CHEO-- MERITOCRACY

2. ANGALIA MATOKEO YA KAZI USIJALI YAMEFANYWA NA NANI; USIJALI RANGI YA PAKA MRADI ANAKAMATA PANYA

3 UADILIFU ; WATEULE LAZIMA WAWE NI WATU WENYE HADHI KUTOKANA NA HISTORIA YAO !! KUWA WANAFUNZI WA KIONGOZI SIO QUALIFICATION YA KUTEULIWA!! TUMEONA WENGINE WALIPEWA VYEO NA KUTEMBEA NA ILANI YA CHAMA TAWALA KUMBE NI WEZI!!!
 
Back
Top Bottom