Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu kuna kitu anatuficha. Akilazimisha kupita tutarudia uchaguzi bora astaafu
KiukweliHuyu kuna kitu anatuficha. Akilazimisha kupita tutarudia uchaguzi bora astaafu
..anajua kuna mambo mabaya amewatendea.
..hana ujasiri wa kuonana na wananchi wa kusini.
Mwone!Rais ni binadamu anachoka pia anamajukumu ya serikali hawezi kwenda huko kote...hongera Sana Magufuli hujawa mlafi umeamua kuwatuma watu wengine wakusaidie baadhi ya majukumu.. wewe ni Rais unaethamin vipaumbele na kipaumbele chako ni wananchi wako.. CCM oyeee..
Yeye ni Rais na Mgombea pia.... Unamfananisha na Mgombea wenu?
Sasa huyu mbwiga wanabaki na kanda gani anakojivunia? Kanda ya Tume? Kanda ya Polisi? Au kanda ya Ma DED?Anaogopa maswali ya korosho kaficha mkia!!
Huyu mzee anakwenda kuondoka kwa aibu kubwa!!Tarehe 22,afike kuchukua aibu yake rasmi.Hatutaki Ubabe wake,ameijeruhi sana Kaskazini.
😀Anaogopa koro-show??
Anamtuma waziri mkuu??
Kwani kampeni ni kazi ya serikali??
Nimeamini trip shamba, trip garage!
Everyday is Saturday..............................😎
Tuko hapa na anasupport yetu .Arusha na Kilimanjaro hawamtaki kabisa. Asikanyage huko.
Kina Mangi, Washana na Malaigwanan huyu mbaguzi akija huko mrushieni majini ya Kichagga na Kimaasai