Hasa za kununuaIla PH.d za UDSM hua ni kiboko kwa kweli.
Hiv ilikuwaje hadi akasema hvy " kusuguliwa"Mr. Pumba ni hatari sana. Anasemaga sitaki kuandikiwa hotuba, sasa madhara yake ndio haya.
Kule Mbeya alisema sugu nisugue..kikikikiki..teh teh teh
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Povu jingi wakati ni utani....Huyu Ni Mkristo wa madhehebu ya Kikatoloki,
Kwa mujibu ya dining ya kikristo Kuna imani ya ndoa ya mke mmoja na mme mmoja.
Hivyo huyu bwana hafuati miongozo ya Dini yake,na mtu ambae anaomba dhamana kubwa Kama urais na akiwa hafuati miongozo ya Dini anayoiamini hastahili kuchaguliwa.
Pili Ni unyanyasaji mkubwa kwa mke wake aliyenae Sasa hivi.
Hivyo wanawake wote,wakristo na waislam mkataeni mtu huyu.
Pia wakristo wote mkataeni mtu huyu.
Kama angekua Ni muislam Haina shida,kwa imani ya kiislam Ni ruksa kuwa na mkezaidi ya mmoja angalau mwisho wanne.
Wito mtu asiefuata mafundisho au Sheria za Dini hastahili kuongozwa Taifa .
Nawaomba waislam na wakristo wote tumkatae kwa Hilo.
Pia Ni mnyanyasaji wa wanawake.
Yes, huyu anapenda sana ngonoKimtokacho ndicho kiujazacho moyo wake
Mzee kutwa anawaza mapenzi ndiyo maana hayuko serious na nchiWapwa
JPM anaendelea na kampeni zake, wakati wakiendelea kunadi sera, akachomekea kuwa akimaliza uraisi ataoa mwanamke wa pili Zanzibar hii ni baada ya kudokezwa na mzee Mwinyi kuwa siri ya yeye kuishi maisha marefu ni kuwa na wake wawili
Hivi First Lady yuko Zanzibar au anaangalia TBC kama sisi
Haki huinua taifa
Mkuu SN.BARRY , sijaiona hiyo clip,tafadhali tuwekee hapa jukwaani kwa kumbukumbu ya maktaba.Mr. Pumba ni hatari sana. Anasemaga sitaki kuandikiwa hotuba, sasa madhara yake ndio haya.
Kule Mbeya alisema sugu nisugue..kikikikiki..teh teh teh
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app