LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,483
Mtu mmoja akasema kwa hio Sugu kaombwa aichakate sio😅😂😂😂😂😂Mr. Pumba ni hatari sana. Anasemaga sitaki kuandikiwa hotuba, sasa madhara yake ndio haya.
Kule Mbeya alisema sugu nisugue..kikikikiki..teh teh teh
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Wabongo wana maneno sn😂😂