Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema sitakaa mana wengine tuna ona safi mana hata makazin wengine kwa sasa tuna furahi kuheshimiana kumeongezeka hakuna manyanyaso mshahara una toka kwa wakati tofauti na miaka ya nyuma PAYE imepunguaHakuna mfanyakazi atakaa achague huyu dhalimu. Anajidanganya tu.
Si alijifanya kuwafokea! Leo maji yamemfika shingoni ndo anaanza kutapatapa. Ameshachelewa yaani.
Sidhani hata kama umeajiliwa weweMfanyakazi atakaemchangua huyu katili atakuwa na laana, siyo bure
Kumbe yeye ndo anaamua wakati gani pongezi maslahi ya watumishi ok na sisi ndo tumeamua Home you go bwana mzee kajiuguze vzrMgombeawa Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM amesema sasa ni wakati wa kujali maslahi ya wafanyakazi wa Tanzania.
Amesema kwa miaka mitano aliyoongoza ameweza kufanya nchi ifike uchumi wa kati wa chini na hivyo kwa miaka mitano inayofuata ataanza kuboresha maslahi ya wafanyakazi.
Amesema hauwezi kuongeza mishahara wakati hauna hela ya kuongeza mishahara. Aidha amesema hao wanasema kuhusu kuongeza mishahara hawajawahi kutawala.
Amesema wengine vyama vyao wameshindwa hata kujenga ofisi za vyama vyao. Amesema kuzungumza ni rahisi kuliko vitendo.
Wafanya kazi wa wapi una zungumziaWafanyakazi wameahidi hawatawaangusha Watanzania.... say No to JPM
Eti anadhani tutadanganyika after all these 5 years yakutukemea na kutuzodoa. Naikumbuka ile kauri aliyoitoa siku ya wafanyakazi kama si 2016 basi 2017 iliyotufanya tunyong'onyee siku na miaka yote hii.Hakuna mfanyakazi atakaa achague huyu dhalimu. Anajidanganya tu.
Si alijifanya kuwafokea! Leo maji yamemfika shingoni ndo anaanza kutapatapa. Ameshachelewa yaani.
Anakumbuka blanket asubuhi.? Tar 28 saa tatu asubuhi, bila makosaMgombeawa Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM amesema sasa ni wakati wa kujali maslahi ya wafanyakazi wa Tanzania.
Amesema kwa miaka mitano aliyoongoza ameweza kufanya nchi ifike uchumi wa kati wa chini na hivyo kwa miaka mitano inayofuata ataanza kuboresha maslahi ya wafanyakazi.
Amesema hauwezi kuongeza mishahara wakati hauna hela ya kuongeza mishahara. Aidha amesema hao wanasema kuhusu kuongeza mishahara hawajawahi kutawala.
Amesema wengine vyama vyao wameshindwa hata kujenga ofisi za vyama vyao. Amesema kuzungumza ni rahisi kuliko vitendo.
Kumbe Jiwe anawaona wafanyakazi ni mafala! makhanisi?Dr JPM kwenye kampeni zake Korogwe aliahidi kushughulikia maslahi na mishahara mara tu baada ya uchaguzi naomba watumishi wote tumuamini kwa vile ninavyomfahamu Rais wetu akiahidi hutekeleza.
Bahati nzuri ametoa sababu za kutopandisha mishahara kwa kipindi hicho kutokana na miradi ya kimikakati iliyokuwepo na inayoendelea ambayo inachukua fedha nyingi na ilihitaji kuweka msingi wa ujenzi wake.
Hata hivyo serikali ilikwisha punguza kodi ya PAYE na kuongeza take home kwa watumishi ambayo ni hatua nzuri yenye utashi wa kisiasa. Hivyo watumishi tupunguze hasira na visasi tumpigie kura Kiongozi wetu na Mkuu wa utumishi wa umma tarehe 28.10.2020.
Nyongeza ya 30k ndo una piga kelele ivoWafanyakazi wana mambo mengi wanayoona hayakua sawa....ukiacha tu mishahara na kuna tatizo la kutokupandishwa Madaraja wala vyeo kwa muda.
Hahahah...Tatizo watu wakiwa hawana kazi ni humble sana wakipata wanataka kuwin maisha kwa siku moja badala na wao kuwa sehemu ya kuleta maendeleo makubwa....Waaache kazi basi!Hakuna mfanyakazi atakaa achague huyu dhalimu. Anajidanganya tu.
Si alijifanya kuwafokea! Leo maji yamemfika shingoni ndo anaanza kutapatapa. Ameshachelewa yaani.
Wafanyakazi wanaolilia madaraja ndo hawafanyi kazi ,wategeaji walizoea rushwa na janja janja....Wazalendo tunaendelea kuchapa kazi Mafanikio ni hatuaKumbe Jiwe anawaona wafanyakazi ni mafala! makhanisi?
uzalendo wa kijinga ni Ukhanisi!Wafanyakazi wanaolilia madaraja ndo hawafanyi kazi ,wategeaji walizoea rushwa na janja janja....Wazalendo tunaendelea kuchapa kazi Mafanikio ni hatua
Maelezo yako yanajipinga.Mara mafisadi,mara ameshindwa kuwadhibiti nani kasema?.HuelewekiAmeshindwa kuwa dhibiti nani kasema? Unajua Longrun plan na solution ya sukari Tanzania? Kaeni chonjo biashara ya kuagiza sukari Brazil na kwengineko mkichanganya miraa inaenda kufa kifo cha jumla. Tanzania itauza sukari nje kama ilivyo kwa dhahabu na korosho.
Mashamba na viwanda vipya vikianza kutema miwa na sukari bei ya kilo ya sukari itakuwa kama ya kijoti cha Bakhresa.
Hajawahi kushindwa John Pombe Magufuli. Ni mipango tuu na sasa ameshapapanga hivyoKama ni uwongo hata shetani atakataa.yaani ashindwe mitano aweze sasa
.
Sema mimi lakini usisemee watu jidanganye hivyo hivyo, Maji gani yalomfika shingoni mbona sijaona mimi.Hahahah...Tatizo watu wakiwa hawana kazi ni humble sana wakipata wanataka kuwin maisha kwa siku moja badala na wao kuwa sehemu ya kuleta maendeleo makubwa....Waaache kazi basi!
Jiwe ni tapeli la karne. Ni mazuzu tu ndio yanaliaminiHaa mwaka 2015 alisema zaidi ya hayo...tapeli huyo
Ondoa shaka,wapinzani ni watanzania wenzetu.Wanatusaidia kujua na kuyaona mambo yaliyofichwa.Mambo ambayo wafichaji hawataki watanzania wayajue.Wapinzania watauza nchi. Tusifanye makosa Oktoba 28. Chagua Magufuli [emoji736]
Wapo ndugu uangu. Ujue kuna watu akili zao ni kama wanashikiwaHakuna mfanyakazi atakaa achague huyu dhalimu. Anajidanganya tu.
Si alijifanya kuwafokea! Leo maji yamemfika shingoni ndo anaanza kutapatapa. Ameshachelewa yaani.