Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Sio hongo, mimi bado ni Rais, natangaza tenda ya barabara za mjini Itigi KM 10

sheria za uchaguzi zinasemaje.!?

ingekuwa ni boxing wangesema 'amepiga chini ya mkanda' ama kwenye soka ni faulo

lakini kama NEC ndiye refa atapeta
 
Umesema sahihi kabisa siongezi neno.


Nchi haijawahi kusimama, hata corona ilipokuja serikali ya Tanzania iliendelea kupiga kazi. Hii ndiyo sifa pekee ya JPM yeye ni kazi tu. 5 mingine kwake
Sasa mbona hanunui chakula kwa kaya masikini ambazo hazina uhakika wa kula?
 
Alikuwa wapi kutoa maagizo kabla ya kampeni???

Daaah CCM kwisha Habari yenu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwa hiyo unataka kazi za uraisi zisimame hadi uchaguzi upite? Katiba inamruhusu kuendelea na majukumu yake ya kiraisi hadi mpya atakapoapishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…