Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Jibu swali alikuwa wapi hadi atoe leo siku ya kampeni???Kwa hiyo unataka kazi za uraisi zisimame hadi uchaguzi upite? Katiba inamruhusu kuendelea na majukumu yake ya kiraisi hadi mpya atakapoapishwa
Akitoa pesa kwa Tume na kusema , Mpango uko wapi, peleka pesa tume haraka Kaijage anataka kuchapisha karatasi za kura.Sio rushwa ni utekelezaji wa bajeti ya mwaka huu nliyopitishwa na bunge la june mwaka huu
Utekelezaji wa bajeti huwa hausimami kwa sababu ya uchaguzi
Hata bajeti ya tume ya mwaka huu wanayotumia ni iliyoidhinishwa na bunge la June
Raisi hapangiwi muda kipi afanye lini au akitolee tamko lini katiba imempa mamlaka hayoJibu swali alikuwa wapi hadi atoe leo siku ya kampeni???
Inaeleweka yeye ndiyo rais wa JMT ni yeye amiri jeshi mkuu, ni yeye paymaster namba 1, ni yeye mwajiri namba 1 na ni yeye mzalendo namba mojaDkt. Magufuli anaendelea na kampeni na leo yuko Itigi mkoani Singida. Akiwa huko akaongelea uzuri wa nyumba za Singida na kusikitika zinavyopigwa vumbi ndipo ghafla akaitwa meneja wa Tanroad mkoa wa Singida mbele ya hadhara ya kampeni. Mazungumzo yao yalikuwa hivi.
=======
Dkt Magufuli: Ahadi yangu ya mjini ilikuwa kilomita 8 sasa ntatengeneza 10 pamoja na hii barabara niliyokuja nayo, nasema kwa dhati, sisemi kwa sababu ya kura. Nasema kwa sababu hii ni haki yenu.
Huu mji umependeza sana, mmejenga nyumba nzuri sana. Haiwezekani nyumba nzuri nzuri ziwe zinaendelea kupigwa mavumbi, nasema hapana kabisa lazima tutengeneze lami na mimi lazima niwaahidi ukweli. Mheshimiwa mkuu wa mkoa sijui yuko wapi? Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Singida hili ndio liwe la kwanza kushughulikiwa, asante sana.
Na regional manager wa Tanroads yupo au msaidizi wake? Njoo hapa, chukua mic
Dkt. Magufuli: Regional manager
Regional manager: Ndio mheshimiwa
Dkt. Magufuli: Pamoja na wa Tarura, nataka mkae hapa, kuanzia leo sisi tukiondoka.
Regional manager: Ndio mheshimiwa
Dkt. Magufuli: Mchague baadhi ya barabara zitakazotosha kwenye KM 10(Regional manager: Ndio mheshimiwa Rais).
Dkt Magufuli: Tangaza tenda mwezi huu, pesa usiulize, mimi nitatoa pesa kwa ajili ya kutengeza barabara hii. Itigi Oyee, (Wananchi: Oyee kwa shangwe). Kwa hiyo mjulishe chief executive wa Tanroard, mjulishe na waziri wa ujenzi, tunaanza mara moja, wala tusichelewe na hii wala sio hongo, mimi bado ni Rais kwa hiyo natoa maagizo. Tangaza tenda ya barabara za mjini Itigi kilomita 10, zitengenezwe kwa kiwango cha lami.
Regional manager: Ndio mheshimiwa Rais.
Dkt. Magufuli alifunga suala hilo na kuendelea na kampeni kwa kuelezea ubaya wa kugawa nchi katika majimbo na kuwataka wana-Itigi wawafundishe kwa kuwanyima kura wanaotaka kufanya hivyo.
Alikuwa Tabora, sasa leo kafika Itigi kanena. Wewe ulitaka awe wapi?Jibu swali alikuwa wapi hadi atoe leo siku ya kampeni???
Umeelewa swali??? Alikuwa wapi siku zote??? Mwaka wa fedha umeanza mwezi wa Saba???Alikuwa Tabora, sasa leo kafika Itigi kanena. Wewe ulitaka awe wapi?
Maswali mengine ya kizembe
Nani kakwambia chadema wanapinga??Chadema unadhani wanapenda maendeleo basi?
Wanapinga kila kitu
Kabisa mkuuNa kweli watu tuna njaa
Anatekeleza bajeti ya mwaka wa fedha July 2020 hadi June, 2021. Tatizo nyie chadema hamkuipitisha hii bajeti mlisepa kwa kuogopa kuambukizwa COVID 19 kwa hiyo hata kumbukumbu hamnayo. Chadema majangaAlikuwa wapi kutoa maagizo kabla ya kampeni???
Daaah CCM kwisha Habari yenu 😂😂😂
Hivi singida si ndio mtu wao amepigwa risasi 16?Safi bajeti ya mwaka huu hiyo inatekelezwa
Kwa Hali ulivyo hata ujenge barabara za lami nchi nzima.kura upati . Maisha ya watu na familia zao ni mbaya Sana. Oct 28,hutaamini mwaka huuDkt. Magufuli anaendelea na kampeni na leo yuko Itigi mkoani Singida. Akiwa huko akaongelea uzuri wa nyumba za Singida na kusikitika zinavyopigwa vumbi ndipo ghafla akaitwa meneja wa Tanroad mkoa wa Singida mbele ya hadhara ya kampeni. Mazungumzo yao yalikuwa hivi.
=======
Dkt Magufuli: Ahadi yangu ya mjini ilikuwa kilomita 8 sasa ntatengeneza 10 pamoja na hii barabara niliyokuja nayo, nasema kwa dhati, sisemi kwa sababu ya kura. Nasema kwa sababu hii ni haki yenu.
Huu mji umependeza sana, mmejenga nyumba nzuri sana. Haiwezekani nyumba nzuri nzuri ziwe zinaendelea kupigwa mavumbi, nasema hapana kabisa lazima tutengeneze lami na mimi lazima niwaahidi ukweli. Mheshimiwa mkuu wa mkoa sijui yuko wapi? Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Singida hili ndio liwe la kwanza kushughulikiwa, asante sana.
Na regional manager wa Tanroads yupo au msaidizi wake? Njoo hapa, chukua mic
Dkt. Magufuli: Regional manager
Regional manager: Ndio mheshimiwa
Dkt. Magufuli: Pamoja na wa Tarura, nataka mkae hapa, kuanzia leo sisi tukiondoka.
Regional manager: Ndio mheshimiwa
Dkt. Magufuli: Mchague baadhi ya barabara zitakazotosha kwenye KM 10(Regional manager: Ndio mheshimiwa Rais).
Dkt Magufuli: Tangaza tenda mwezi huu, pesa usiulize, mimi nitatoa pesa kwa ajili ya kutengeza barabara hii. Itigi Oyee, (Wananchi: Oyee kwa shangwe). Kwa hiyo mjulishe chief executive wa Tanroard, mjulishe na waziri wa ujenzi, tunaanza mara moja, wala tusichelewe na hii wala sio hongo, mimi bado ni Rais kwa hiyo natoa maagizo. Tangaza tenda ya barabara za mjini Itigi kilomita 10, zitengenezwe kwa kiwango cha lami.
Regional manager: Ndio mheshimiwa Rais.
Dkt. Magufuli alifunga suala hilo na kuendelea na kampeni kwa kuelezea ubaya wa kugawa nchi katika majimbo na kuwataka wana-Itigi wawafundishe kwa kuwanyima kura wanaotaka kufanya hivyo.
Tulia dawa ikuingie, wewe endelea kusubiri maendeleo ya watu. Hii ya barabara haiwahusu kabisaa!Pumzi imekata hadi anatumia kiki ya barabara.
Hatufai hata kwa miezi miwili huyu!
Tulia dawa ikuingie, wewe endelea kusubiri maendeleo ya watu. Hii ya barabara haiwahusu kabisaa!Pumzi imekata hadi anatumia kiki ya barabara.
Hatufai hata kwa miezi miwili huyu!
Hii ndio Bashiru aliizungumzia kutumia dola kupata kura! Chandimu msinune Magu ni Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, badala kupoteza mda kushitaki NEC tumieni huu mda kutuelezea Sera zenu tukiwapa ridhaa mipango yenu ni nini, mtafanya nini, kivipi nk! Magu 5 tena!Dkt. Magufuli anaendelea na kampeni na leo yuko Itigi mkoani Singida. Akiwa huko akaongelea uzuri wa nyumba za Singida na kusikitika zinavyopigwa vumbi ndipo ghafla akaitwa meneja wa Tanroad mkoa wa Singida mbele ya hadhara ya kampeni. Mazungumzo yao yalikuwa hivi.
=======
Dkt Magufuli: Ahadi yangu ya mjini ilikuwa kilomita 8 sasa ntatengeneza 10 pamoja na hii barabara niliyokuja nayo, nasema kwa dhati, sisemi kwa sababu ya kura. Nasema kwa sababu hii ni haki yenu.
Huu mji umependeza sana, mmejenga nyumba nzuri sana. Haiwezekani nyumba nzuri nzuri ziwe zinaendelea kupigwa mavumbi, nasema hapana kabisa lazima tutengeneze lami na mimi lazima niwaahidi ukweli. Mheshimiwa mkuu wa mkoa sijui yuko wapi? Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Singida hili ndio liwe la kwanza kushughulikiwa, asante sana.
Na regional manager wa Tanroads yupo au msaidizi wake? Njoo hapa, chukua mic
Dkt. Magufuli: Regional manager
Regional manager: Ndio mheshimiwa
Dkt. Magufuli: Pamoja na wa Tarura, nataka mkae hapa, kuanzia leo sisi tukiondoka.
Regional manager: Ndio mheshimiwa
Dkt. Magufuli: Mchague baadhi ya barabara zitakazotosha kwenye KM 10(Regional manager: Ndio mheshimiwa Rais).
Dkt Magufuli: Tangaza tenda mwezi huu, pesa usiulize, mimi nitatoa pesa kwa ajili ya kutengeza barabara hii. Itigi Oyee, (Wananchi: Oyee kwa shangwe). Kwa hiyo mjulishe chief executive wa Tanroard, mjulishe na waziri wa ujenzi, tunaanza mara moja, wala tusichelewe na hii wala sio hongo, mimi bado ni Rais kwa hiyo natoa maagizo. Tangaza tenda ya barabara za mjini Itigi kilomita 10, zitengenezwe kwa kiwango cha lami.
Regional manager: Ndio mheshimiwa Rais.
Dkt. Magufuli alifunga suala hilo na kuendelea na kampeni kwa kuelezea ubaya wa kugawa nchi katika majimbo na kuwataka wana-Itigi wawafundishe kwa kuwanyima kura wanaotaka kufanya hivyo.
Magu ni Raisi siyo waziri, anatoa maagizo popote pale ndo maana anatembea na yule mpambe wake mwanajeshi, ni icon ya nchi!
Nimekuelewa vizuri sana, nimekujibu kizembe kama wewe ulivyouliza kizembe. Mtu mjinga akiuliza swali la kijinga kwa mtu mwenye akili ukimjibu kistaarabu utaonekana wewe mjinga.Umeelewa swali??? Alikuwa wapi siku zote??? Mwaka wa fedha umeanza mwezi wa Saba???
... tangu lini order ya peleka fedha pale; peleka kule hata kama ni utekelezaji wa bajeti ikatolewa kwenye majukwaa ya kampeni?Sio rushwa ni utekelezaji wa bajeti ya mwaka huu nliyopitishwa na bunge la june mwaka huu
Utekelezaji wa bajeti huwa hausimami kwa sababu ya uchaguzi
Hata bajeti ya tume ya mwaka huu wanayotumia ni iliyoidhinishwa na bunge la June
Raisi kila siku yuko kazini, hili halihitaji kuwa na PhD kulijua!Jibu swali alikuwa wapi hadi atoe leo siku ya kampeni???