Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Sio hongo, mimi bado ni Rais, natangaza tenda ya barabara za mjini Itigi KM 10

Sio rushwa ni utekelezaji wa bajeti ya mwaka huu nliyopitishwa na bunge la june mwaka huu

Utekelezaji wa bajeti huwa hausimami kwa sababu ya uchaguzi

Hata bajeti ya tume ya mwaka huu wanayotumia ni iliyoidhinishwa na bunge la June
Pesa amesema atatoa yeye!Sasa hapo unaweza kujiuliza nini kipo nyuma ya pazia!
Halafu mbona,mnajihi?Wenyewe mnajua ni rushwa ndio maana mnajaribu kupotosha!shwain!
 
Acha kutetea mjinga,kazi za rais ni kuidhinisha pesa za ujenzi wa barabara au kupiga simu Tanroad wewe ni hovyo kama unae mtetea alivyo wa hovyo pia
Sasa simu aliyopewa Raisi kazi yake nini kucheza game au?
 
Ni kweli bado ni Rais,ni kweli kuwa anaweza hata kutengua wajumbe wa NEC,ni kweli kuwa anaweza ku saini na mtu akanyongwa LAKINI kwa hili ni ushawishi wa kutaka kupata kura.NEC msaidieni kuhalalisha hili au mkatazeni.This time anapambana na mtu anayeweza kuzungumza masaa sio yule wa dakika kumi.
 
Hapo JPM amekosea Kama anataka kufanya kazi za serikali wakati huu wa kampeni arudi ikulu avae suti yake aanze ziara za kiserikali then akimaliza arudi upya kuvaa sare za chama aanze kuomba kura kwa wananchi kwa kutoa ahadi kwamba mkinichagua nini atafanya, Mimi CCM na nampenda JPM sitaki aharibikiwe Kama hao wanaompamba na mwenzao anaharibu kama issue ya majimbo aliyoianzisha Bashiru wakati rasmu ya Warioba imependekeza hilo swala. Sasa hivi ajitahidi kunadi sera zake na ahadi zaidi Kama ni vijembe achombeze vile vya utani lakini siyo kwenye Mambo makubwa.
 
Tena ajitahidi akiwa kwenye kampeni aseme Mimi nimgombea wa kiti cha uraisi hayo ya uraisi awaachie mashabiki Kama wanavyofanya kwa wagombea wengine itamuongezea kura za huruma.
 
Rais wa Nchi, Mgombea Urais na mwenyekiti wa chama. Yaani hata NEC yenyewe muda wote hawajui anapokuwa jukwaani anakuwa amevaa cheo kipi kwa wakati huo.

Huyu kabla NEC hawajatangaza matokeo lazima atoe presidential order.
 
Sio rushwa ni utekelezaji wa bajeti ya mwaka huu nliyopitishwa na bunge la june mwaka huu

Utekelezaji wa bajeti huwa hausimami kwa sababu ya uchaguzi

Hata bajeti ya tume ya mwaka huu wanayotumia ni iliyoidhinishwa na bunge la June
Mbona anasema Pesa atatoa yeye wala wasiulizr zitatoka wapi kwa mini asiseme ni budget inatekelezwa
 
Napata taabu sana anapoitwa subordinate ili aanze utekelezaji wa mradi na kuagizwa awaeleze mabosi wake maagizo aliyopokea hadharani. Kwani huwa kuna haraka gani, no structures?
 
Ilegal directive
 
Magufuli na mchaka mchaka wa LISSU. DADEKI..
Kwisha abari yake, Chali,.. anaucheza mziki wa LISSU penda usipende.
Usiishie hapo waahidi kuwakamata
Waliomshambulia mtoto wao wana Singida, kinyume cha hapo kwendraaaa, hakuna kura kwa muuaji kama wewe

#NIYEYE kiboko ya ViChaa na WendaWazimu. ✌🏽✌🏽✌🏽
 
Daah! Procurement officer & Paymaster...

Anakosea! Mbona ka anafanya kusudi!

Everyday is Saturday.............................. 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…