Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Sio hongo, mimi bado ni Rais, natangaza tenda ya barabara za mjini Itigi KM 10

Tenda zinatangazwa kwenye mikutano ya hadhara?
Mbona ndege na stigla hukutangaza kwenye mikutano ya hadhara, hivi unawachukuliaje watu wa kanda ya ziwa, huu uongo unaweza kuusema mbele ya watu wa Kilimanjaro na Arusha?
Jaribu kuusema kilimanjaro na Arusha
 
Maelfu ya Ardhi iliyonyakuliwa na mgombea wa CCM na wenzake huko Karagwe yawekwa wazi

 
[SUB]any man who must say you know am the king, is not true king: tywin lannister game of thrones.[/SUB]
 
Mbona CIA hakutangaza tenda?
 
Muovu hulipwa maovu
 
Rais ndye anatangaza tenda? Au anafikiri bado ni wazir wa ujenzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…