Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Kwa hiyo serikali tatu ndo hakuna Muungano au hizo serikali tatu zitakuwa za mikoa?Chadema na ACT wazalendo wanaamini katika serikali 3!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo serikali tatu ndo hakuna Muungano au hizo serikali tatu zitakuwa za mikoa?Chadema na ACT wazalendo wanaamini katika serikali 3!
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787]. Kwa kura yako moja ?! Au kwa hila ?Tutaulinda Muungano kwa gharama yeyote ile.
Mungu ibariki Tanzania.
Kwani serikali tatu inavunja muungano ?!Chadema na ACT wazalendo wanaamini katika serikali 3!
Zinavunja muungano wa kipekee!Kwani serikali tatu inavunja muungano ?!
Kiswahili cha wapi hiki ?!Zinavunja muungano wa kipekee!
Unique!Kiswahili cha wapi hiki ?!
... so what? Ni muungano pia.Chadema na ACT wazalendo wanaamini katika serikali 3!
Chadema na ACT wazalendo wanaamini katika serikali 3!
Lengo ni muungano wa serikali moja uwe unaelewa bwashee!... so what? Ni muungano pia.
Zanzibar ni ya Maalim Seif na Tanganyika ni ya Tundu Lissu.
Magufuli aangalie tu namna ya kuishi vizuri akishaenda kijijini kwake chato.
Huu si muungano, huu ni uvamiziMgombea urais wa JMT, Dkt. Magufuli amesema watanzania wawe makini wanapopiga kura kwani uchaguzi huu ndio utaamua kuendelea kuwepo kwa Muungano au kuvunjika.
Chanzo: Wasafi tv
Maendeleo hayana vyama!
5 tayari
Huo hautokuwa muungano . Hakuna kitu kama hicho dunianiLengo ni muungano wa serikali moja uwe unaelewa bwashee!
Hii kauli inanena makubwa sana.Mgombea urais wa JMT, Dkt. Magufuli amesema watanzania wawe makini wanapopiga kura kwani uchaguzi huu ndio utaamua kuendelea kuwepo kwa Muungano au kuvunjika.
Chanzo: Wasafi tv
Maendeleo hayana vyama!
Rasmi cdm wawaunga mkono Act zanzibarMgombea urais wa JMT, Dkt. Magufuli amesema watanzania wawe makini wanapopiga kura kwani uchaguzi huu ndio utaamua kuendelea kuwepo kwa Muungano au kuvunjika.
Chanzo: Wasafi tv
Maendeleo hayana vyama!
Muungano unaenda na maji sasaHakuna wa kutikisa muungano
Tena sana zaidiCcm ni wajinga sana!
Hajui chochote yeye ni Bendera fuata upepomagufuli mwenyewe hata muungano haujui,naye anasikia tu kama mimi