Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Uchaguzi huu ndio utaamua kama tuendelee au tusiendelee na Muungano

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Uchaguzi huu ndio utaamua kama tuendelee au tusiendelee na Muungano

magufuli mwenyewe hata muungano haujui,naye anasikia tu kama mimi


Huo ni muungano wa Godfathers katika harakati zao zao umafia , bila ya kuwepo muungano huo , wizi wao haufanyiki. Mkapa alijinyakulia ardhi zaidi ya ekari 60 000 za watu kule Morogoro.

Mwinyi hivyo hivyo amenyakuwa ardhi za watu zaidi ya ekari 60 000 huko Morogoro na huku Zanzibar hivyo hivyo amenyakuwa ardhi za watu. Magufuli hivyo hivyo huko Tanga amenyakuwa .

Bila Muungano madudu yao hayawezi kufichika na ndio wakawa wanapigania muungano uwepo kufa kupona wapate kulindana na kulinda mali zao
 
Hii kauli inanena makubwa sana.
Tumaini linapofifia katika jambo ulilotia imani , kauli za namna hii lazima zisikike.
Kwa mara ya kwanza magufuli anasema ukweli maana ACT wakishinda hakuna muungano tena kila Nchi itajitegemea Wazanzibar waliopo Tanganyika watasalia Tanganyika na kuwa Raia wa Tanganyika utaundwa muungano wa kisasa kama ule wa UK kila Taifa kuwa huru na mambo yake
 
Mgombea urais wa JMT, Dkt. Magufuli amesema watanzania wawe makini wanapopiga kura kwani uchaguzi huu ndio utaamua kuendelea kuwepo kwa Muungano au kuvunjika.

Chanzo: Wasafi tv

Maendeleo hayana vyama!
Seif zenji, lissu Bara

Tuliwaambia tupitishe Katiba ya serikali 3 wakang'ang'ana na maslahi ya kakikundi kadogo

Ona Sasa wamechanganyikiwa
 
Muungano wa china Taiwan Hongkong kila Taifa linakuwa huru hata muungano wa marekani kila jimbo lipo huru kiuchumi
 
Seif zenji, lissu Bara

Tuliwaambia tupitishe Katiba ya serikali 3 wakang'ang'ana na maslahi ya kakikundi kadogo

Ona Sasa wamechanganyikiwa
Watatumia mfumo wa muungano wa farume za kiaraabu kila taifa kuwa na uhuru wa mambo yake siyo kuingiliana kama hapo awali
 
Naapa na ahadi,
Mbele za Mungu,
Tanzania nitakulinda mpaka kufa x 2

Tanzania ningali,
Mtoto mdogo, nimepewa jukumu
La kukulinnda weweee

Wimbo wa Kizalendo huo, muungano tutaulinda kwa gharama yoyote.

October 28 kura zote kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
Yeye mwenyewe ukimthathmini vzr Hana interest na muungano; Ni basi tu!
 
Hivi huwa mna ung'ang'ania muungano kwa faida ipi? Maana naona muungano Ni sawa na uwepo wa mwenge .. yaani hakuna faida isipokuwa Zenji ndio wanaumizwa na hicho kitu
 
Zanzibar ni ya Maalim Seif na Tanganyika ni ya Tundu Lissu.

Magufuli aangalie tu namna ya kuishi vizuri akishaenda kijijini kwake chato.
20201004_210220.jpg
 
Back
Top Bottom