Ndimi mbili hizi za mtu mmojaMaagizo mapya ni kwa kipindi hiki cha uchaguzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndimi mbili hizi za mtu mmojaMaagizo mapya ni kwa kipindi hiki cha uchaguzi.
Huwa anatuingiza chaka kwa takwimu za kubunba.Huyu anatabia za Uongo.
Leo utasikia selikali yake imetoa ajila milioni 8.
Viwanda Elfu nane 8
Leo atakwambia hajawahi kwenda ulaya wala nje ya nchi.
Kesho atasema nimezunguka sana ulaya.
Atafute kazi nyingine ,au akachunge mbuzi chato
Kazi ya Tundu Antipas Lissu inaonekana wazi.
Apewe kura za kutosha tupate kupumuaKazi ya Tundu Antipas Lissu inaonekana wazi.
Huyu ni wa kupiga chini mazimaYeye na mamburula wenziwe wanadhani kuwa yeye ni raisi bora kabisa hii nchi (na hata dunia) kuwahi kupata.
Pathetic!
Huyu ni wa kupiga chini mazima
WANANCHI KUWENI MACHO NA HUYU MTU AKISHAPATA URAIS AWAMU YA PILI MTAJIBEBA ATAKAVYOWAKANDAMIZA!!
Yaani tukiipoteza hii bahati tutakoma!Huyu ni wa kupiga chini mazima
Atanyanyasa watu mpk shetani ashangaeWANANCHI KUWENI MACHO NA HUYU MTU AKISHAPATA URAIS AWAMU YA PILI MTAJIBEBA ATAKAVYOWAKANDAMIZA!!
Tutajualta, atajiona kuwa yeye ndiye Mungu kamili wa watanzania.Yaani tukiipoteza hii bahati tutakoma!
Umenikumbusha ya Kingunge juu ya huyu john. Shime watanzania tumpige chini huyu mtu. Tutajuta.Kiukweli huyu Mzee ni kichomi!! Ni pasua kichwa! Mara nyingi kauli zake zinaleta tu mvurugano. Hajabobea kabisa kwenye siasa.
Hakika Mzee Kingunge Ngombale Mwiru (Rip) aliona mbali!!!
Atanyanyasa watu mpk shetani ashangae
Ameshikwa sehemu ya siri
CCM wamekurupuka na kutuletea Raisi wa awamu moja mwenye AmnesiaHuyu anatabia za Uongo.
Leo utasikia selikali yake imetoa ajila milioni 8.
Viwanda Elfu nane 8
Leo atakwambia hajawahi kwenda ulaya wala nje ya nchi.
Kesho atasema nimezunguka sana ulaya.