Malume
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 1,016
- 1,886
Akichukua tena nchi ataleta mpaka kodi ya matiti kwa mama zetuSubirini inakuja kodi ya kichwa kufidia uchaguzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akichukua tena nchi ataleta mpaka kodi ya matiti kwa mama zetuSubirini inakuja kodi ya kichwa kufidia uchaguzi
Ila wakumbuka lakini alipowaagiza wakuu wa mikoa kuuza hizo ID? Hata na kuwapa target za kuuza? Haya lakini sisi si Wadanganyika bana...Yeah, ameyasema hayo muda mfupi uliopita huku akisisitiza elimu itolewe juu ya suala hilo.
Ni katika mfululizo wa kujibu Tundu Lissu.
Nakumbuka kina Ally Hapi walijiapiza kuwa hawajajiandaa kushindwa kumaliza vitambulisho walivyopewa wawakabidhi wafanya biashara ndogo ndogo kwa malipo ya fedha halali shilingi elfu ishirini tu za kitanzania kwa mwaka.
My take!
Wakuu, kama tutakuwa serious kweli basi hili suala la vitambulisho vinavyolopiwa Tshs. 20000 ni wizi mtupu maana hiyo kodi haina draft yoyote kisheria! Yani hata ukienda mahakamani au bungeni hayo malipo hayatambuliki kisheria! Huu ni wizi wa mchana kweupe.
Mbaya zaidi wala haijuilikani inakoenda, mahesabu yake, ukaguzi wa matumizi yake. Yani ni mambo ya hovyo hovyo tu ya uongozi wa ufalme.
Sijui Bunge la Ndugai tulililipa ili liifanyie nini nchi. Huyu Spika Mungu atakuja kumpa funzo maana hakuwahi kulinda hadhi ya bunge lake!
Wewe una vitambulisho au unafanya biashara gani kwanza.??Yeah, ameyasema hayo muda mfupi uliopita huku akisisitiza elimu itolewe juu ya suala hilo.
Ni katika mfululizo wa kujibu Tundu Lissu.
Nakumbuka kina Ally Hapi walijiapiza kuwa hawajajiandaa kushindwa kumaliza vitambulisho walivyopewa wawakabidhi wafanya biashara ndogo ndogo kwa malipo ya fedha halali shilingi elfu ishirini tu za kitanzania kwa mwaka.
My take!
Wakuu, kama tutakuwa serious kweli basi hili suala la vitambulisho vinavyolopiwa Tshs. 20000 ni wizi mtupu maana hiyo kodi haina draft yoyote kisheria! Yani hata ukienda mahakamani au bungeni hayo malipo hayatambuliki kisheria! Huu ni wizi wa mchana kweupe.
Mbaya zaidi wala haijuilikani inakoenda, mahesabu yake, ukaguzi wa matumizi yake. Yani ni mambo ya hovyo hovyo tu ya uongozi wa ufalme.
Sijui Bunge la Ndugai tulililipa ili liifanyie nini nchi. Huyu Spika Mungu atakuja kumpa funzo maana hakuwahi kulinda hadhi ya bunge lake!
We unafanya kazi gani niambie inawezekana huna hata chochote na hata hujui shida za hawa wafanyabiashara mtuache jamani.Majizi ya fedha hayo
Na wewe utapiga goti ganiSiku ya mwisho kila goti litapigwa
Unangalia wapi zimepelekwa hela za vitambulisho. Uliza hao waliokata vitambulisho je? Vinawanufaishaje hapo ndio utapata majibu na umuhim wake wakati huu wa kampeni. La sivyo utakuwa ni mropokaji uliejawa na wivu chuki na uroho na roho mbaya kwa wajasiliamali ambao Sasa wanatembea kifua mbele na vitambulisho vyao. Kwakifupi tu ni kwamba hiyo elfu ishirini wanayolipia ni kama kugalamia utengenezaji wa kile kikadi tu. Kwasababu hata benki ukipewa kikadi chao ni lazima ulipie elfu kumi. Hakuna wizi hapo ni chuki zako tu ndugu.It is more than too late. Yaani mtu alishafanya "overwhelming demage" kwa walalahoi waliokuwa wengi, halafu leo ndio anakuja na kauli nyepesi namna hiyo! One term president, inatosha kwa maumivu uliyokwisha yaleta kwa Watanzania.
Una ushahidi nyau wewe.Hela yote wamezitumia kusambaza mapicha yao kila kona.
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Wewe baba yako kafanya nini labda maana hata nyumba hajajenga hahahahahNaona jiwe kashalegea hoi bin taabani
Hana hamu tena anaona kila alichokifanya ni upuuzi?
Kila unaemuona unazani anatoka familia za hohe hahe?Wewe baba yako kafanya nini labda maana hata nyumba hajajenga hahahahah
Wewe unaongea nini mzee unazani hichi chama ni cha kimasikini kama chenu cha Chiba hichousikute mihela wanayotumia kwenye kampeni zao ni pesa waliyowakamua wamachinga wetu
Haya ndio ukae kimya sasa mjomba hahahhaKila unaemuona unazani anatoka familia za hohe hahe?
Lia kabisa maana amesha shinda hatuwezi kumpa ambaye anatetea uvunjifu wa sheria. He wants Tanzania kuwa lawless society. Yaani wavuvi wavue wanavyotaka, wabadilisha fedha wafanye wanavyotaka, mwaandishi aandike kile anachotaka bila kuzingatia maadili ya taalum, mashoga wawe huru kufanya wanayotaka, wafugaji wakachunge mifugo kwenye hifadhi, wafanyabiashara wakwepe kodi na kina sheikh Ponda wafanye harakati za kigaidi.Huyu Magufuli akishinda urais,watanzania wenzangu tujiandae kulia.
Acha uchawi wako bhana kodi ya matiti unaijua wewe au unataka kuwadhalilisha wamama zetu acha upuuzi wako.Akichukua tena nchi ataleta mpaka kodi ya matiti kwa mama zetu
Sema wananchi na sio Ccm mjomba kwanza Ccm tu ndio waliopiga kura hahahahah acha uchawi karaba hapa.CCM wamekurupuka na kutuletea Raisi wa awamu moja mwenye Amnesia
Wananchi walikuwa wanamtaka Mzee Membe jabali la Siasa TanzaniaSema wananchi na sio Ccm mjomba kwanza Ccm tu ndio waliopiga kura hahahahah acha uchawi karaba hapa.
Sema alichaguliwa na wananchi
Pisi kali una maneno makali njoo nyumbani nikule kama ugari na kachumbari wewe mtoto mwari.Una ushahidi nyau wewe.
Au unataka kutufananisha na saccos zenu hizo za kina Chiba hahhahah ambacho kinaombaomba pesa na kura ruzuki.
Kwahiyo kutetea Mafisadi na Majizi unajifanya mjanja sio?We unafanya kazi gani niambie inawezekana huna hata chochote na hata hujui shida za hawa wafanyabiashara mtuache jamani.
mbenge Mungu alisikia maombi yako, kweli amekuwa One Term PresidentIt is more than too late. Yaani mtu alishafanya "overwhelming demage" kwa walalahoi waliokuwa wengi, halafu leo ndio anakuja na kauli nyepesi namna hiyo! One term president, inatosha kwa maumivu uliyokwisha yaleta kwa Watanzania.
Mkuu, hii ina uhusiano wowote na Uzi huu?Siku ya mwisho kila goti litapigwa