Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Vitambulisho vya Machinga sio lazima, acheni uongo

Jiwe kwa unafiki hajambo , Leo amekuwa mtu wa kugeuza kauli ndimi mbilimbili , Lissu anamnyoosha , Kigoma sijui wamemfanyaje ? Maana Tabora Leo alikuwa kapoa Kama maji ya mtungi au wamemRuangwa na moshi wa mashangazi .
 
Ukinunua dai risiti, ukiuza toa risiti.
Vipi hivi vitambulisho kutokuwa na risiti Kama alivyotuasa mzee baba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…