Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Vitambulisho vya Machinga sio lazima, acheni uongo

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Vitambulisho vya Machinga sio lazima, acheni uongo

Uongo kasema hulazimishwi ukiona huwezi kununua kitambulisho acha mgambo wachukue vitu vyako au usiuze biashara yako.
 
wanajibia kwa kuvizia vizia, huko vichochoroni, na phd zao wakiitwa kwenye mdahalo wanajikausha kama hawasikii vile..
hehehe mdahalo utakuwa kwa lugha yoyote ata kwa kisukuma lissu yuko tayari...
Kweli Lissu anatisha, jamaa hauzi sera tena bali team nzima inafanya kazi ya kujibu hoja za Lissu japo hakuna mwenye ubavu wa kujibizana naye ana kwa ana
 
Mleta mada ndio anajua hilo leo,

Chadema wanachelewa sana kuelewa mambo,

Jambo linafanyika awamu ya nne wanakuja lielewa awamu wa tano,

Hata anayoyafanya sasa Magufuli watakuja muelewa awamu ya sita, mifano ipo mingi ni jambo la kuwavumilia tu hawa wapinzani tulionao kwani wanachelewa kuelewa mambo.
 
kama vle tunajua michango ya wabunge, ruzuku na saaahv wameanza kuchangisha wananchi pesa wanapeleka wap
 
Mleta mada ndio anajua hilo leo,

Chadema wanachelewa sana kuelewa mambo,

Jambo linafanyika awamu ya nne wanakuja lielewa awamu wa tano,

Hata anayoyafanya sasa Magufuli watakuja muelewa awamu ya sita, mifano ipo mingi ni jambo la kuwavumilia tu hawa wapinzani tulionao kwani wanachelewa kuelewa mambo.
Huoni aibu kushabikia ujinga?
 
TL piga humo humo,vipi kuhusu kupotea watu mbona hajibu?[emoji23][emoji23]


😂 😂 😂 😂
tunasoma bangi zenu aisee, kwan mmesahau kua nyie ndo wachangishaji wakubwa mpaka leo hatujui ruzuku znaenda wap, pesa za wanachama zmeenda wap, na mkaona haitoshi mmeanza changisha wananchi, hatujui pesa mnapeleka wap mjue
 
Maccm yamesambaza mipicha picha yao na kuchafua miji yote lakini kwa taarifa yenu kura yangu hampati ng'ooooooooooooo


1600735318827.png


aisee kaa na kura yako tu, mna mengi ya kujifunza apo ufipa
 
Huoni aibu kushabikia ujinga?


ivi bado mna imani na lissu? you wanna know who will win this election?
simple, skiliza apa influence ya 2015 ilitoka wap na voters walitoka wap! then do quick calculations for this year
 
Yeah, ameyasema hayo muda mfupi uliopita huku akisisitiza elimu itolewe juu ya suala hilo.

Ni katika mfululizo wa kujibu Tundu Lissu.

Nakumbuka kina Ally Hapi walijiapiza kuwa hawajajiandaa kushindwa kumaliza vitambulisho walivyopewa wawakabidhi wafanya biashara ndogo ndogo kwa malipo ya fedha halali shilingi elfu ishirini tu za kitanzania kwa mwaka.


My take!
Wakuu, kama tutakuwa serious kweli basi hili suala la vitambulisho vinavyolopiwa Tshs. 20000 ni wizi mtupu maana hiyo kodi haina draft yoyote kisheria! Yani hata ukienda mahakamani au bungeni hayo malipo hayatambuliki kisheria! Huu ni wizi wa mchana kweupe.

Mbaya zaidi wala haijuilikani inakoenda, mahesabu yake, ukaguzi wa matumizi yake. Yani ni mambo ya hovyo hovyo tu ya uongozi wa ufalme.

Sijui Bunge la Ndugai tulililipa ili liifanyie nini nchi. Huyu Spika Mungu atakuja kumpa funzo maana hakuwahi kulinda hadhi ya bunge lake!
Huyu mzee asitufanye sisi wajinga kama ma-ccm anayoyaburuza! Anakataaje wakati huku kwetu maafisa wa halmashauri wanafunga ofisi kwenda kuuza vitambulisho kwa lazima? Hivi nani ana ile clip ya RC wa Kigoma akifokeana na bibi muuza mbogamboga sokoni kuhusu vitambulisho vya machina tuweke hapa? Tena Lissu asipunguze hii kasi aliyoaanza nayo ambomoe kabisa huyu nguchiro mpaka aombepo! Mbona kuna mengi Lissu hataki kuyasema?
 
Back
Top Bottom