Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi ni zamu ya Jiwe kutimuliwa IkuluJapo simkubali Amos Makala. Sasa naweza sema jiwe alimuonea Amosi Makala kwa kumuondoa URC kwasababu mkoa wake wa Katavi umekuwa wa mwisho kwa kuuza vitambulisho
Kweli Lissu anatisha, jamaa hauzi sera tena bali team nzima inafanya kazi ya kujibu hoja za Lissu japo hakuna mwenye ubavu wa kujibizana naye ana kwa ana
Huoni aibu kushabikia ujinga?Mleta mada ndio anajua hilo leo,
Chadema wanachelewa sana kuelewa mambo,
Jambo linafanyika awamu ya nne wanakuja lielewa awamu wa tano,
Hata anayoyafanya sasa Magufuli watakuja muelewa awamu ya sita, mifano ipo mingi ni jambo la kuwavumilia tu hawa wapinzani tulionao kwani wanachelewa kuelewa mambo.
TL piga humo humo,vipi kuhusu kupotea watu mbona hajibu?[emoji23][emoji23]
Maccm yamesambaza mipicha picha yao na kuchafua miji yote lakini kwa taarifa yenu kura yangu hampati ng'ooooooooooooo
Ntafunga na kusali siku 7
Huoni aibu kushabikia ujinga?
Huyu mzee asitufanye sisi wajinga kama ma-ccm anayoyaburuza! Anakataaje wakati huku kwetu maafisa wa halmashauri wanafunga ofisi kwenda kuuza vitambulisho kwa lazima? Hivi nani ana ile clip ya RC wa Kigoma akifokeana na bibi muuza mbogamboga sokoni kuhusu vitambulisho vya machina tuweke hapa? Tena Lissu asipunguze hii kasi aliyoaanza nayo ambomoe kabisa huyu nguchiro mpaka aombepo! Mbona kuna mengi Lissu hataki kuyasema?Yeah, ameyasema hayo muda mfupi uliopita huku akisisitiza elimu itolewe juu ya suala hilo.
Ni katika mfululizo wa kujibu Tundu Lissu.
Nakumbuka kina Ally Hapi walijiapiza kuwa hawajajiandaa kushindwa kumaliza vitambulisho walivyopewa wawakabidhi wafanya biashara ndogo ndogo kwa malipo ya fedha halali shilingi elfu ishirini tu za kitanzania kwa mwaka.
My take!
Wakuu, kama tutakuwa serious kweli basi hili suala la vitambulisho vinavyolopiwa Tshs. 20000 ni wizi mtupu maana hiyo kodi haina draft yoyote kisheria! Yani hata ukienda mahakamani au bungeni hayo malipo hayatambuliki kisheria! Huu ni wizi wa mchana kweupe.
Mbaya zaidi wala haijuilikani inakoenda, mahesabu yake, ukaguzi wa matumizi yake. Yani ni mambo ya hovyo hovyo tu ya uongozi wa ufalme.
Sijui Bunge la Ndugai tulililipa ili liifanyie nini nchi. Huyu Spika Mungu atakuja kumpa funzo maana hakuwahi kulinda hadhi ya bunge lake!
KwakweliAkishinda urais
Watanzania wanatakiwa kupewa hati yenye maandishi
CERTIFIED IDIOTS OF THE YEAR.