Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,742
- 3,224
Nakumbuka Amos Makala alifukuzwa kisa kutokuuza vitambulisho.Kweli umebanwa Magu! Ulisema ukawatishia kuwa RCs, DCs wasipouza vitambulisho watafukuzwa kazi! Nao ili wasifukuzwe, wanawabana wamachinga... hiyo imeshakuwa lazima
KWELI JIWE UMESHIKWA PABAYA johnthebaptist