Kadoda nguku
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 332
- 475
Lissu shikilia hapo hapo,Geita,mtaa wa mgusu wamewalizimisha wamajinga na wamama wauza samaki kulipa hela ya kitambulisho pia na kutishia kuwafukugia na kuwafukuza kwenye biashara zao..hakika lissu amemkaba meko mpka basi.
Kwakuwa Lissu ndio kasema?Yeah, ameyasema hayo muda mfupi uliopita huku akisisitiza elimu itolewe juu ya suala hilo.
Ni katika mfululizo wa kujibu Tundu Lissu.
Nakumbuka kina Ally Hapi walijiapiza kuwa hawajajiandaa kushindwa kumaliza vitambulisho walivyopewa wawakabidhi wafanya biashara ndogo ndogo kwa malipo ya fedha halali shilingi elfu ishirini tu za kitanzania kwa mwaka.
My take!
Wakuu, kama tutakuwa serious kweli basi hili suala la vitambulisho vinavyolopiwa Tshs. 20000 ni wizi mtupu maana hiyo kodi haina draft yoyote kisheria! Yani hata ukienda mahakamani au bungeni hayo malipo hayatambuliki kisheria! Huu ni wizi wa mchana kweupe.
Mbaya zaidi wala haijuilikani inakoenda, mahesabu yake, ukaguzi wa matumizi yake. Yani ni mambo ya hovyo hovyo tu ya uongozi wa ufalme.
Sijui Bunge la Ndugai tulililipa ili liifanyie nini nchi. Huyu Spika Mungu atakuja kumpa funzo maana hakuwahi kulinda hadhi ya bunge lake!
Acha mawazo mgando na kodi wanalipaje?Kwani hawawezi kufanya biashara bila kitambulisho? Yeye si angeamuru tu machinga wasibugudhiwe bila kuwatoza gharama ya kitambulisho.
UmenenaMleta mada ndio anajua hilo leo,
Chadema wanachelewa sana kuelewa mambo,
Jambo linafanyika awamu ya nne wanakuja lielewa awamu wa tano,
Hata anayoyafanya sasa Magufuli watakuja muelewa awamu ya sita, mifano ipo mingi ni jambo la kuwavumilia tu hawa wapinzani tulionao kwani wanachelewa kuelewa mambo.
Acha uongo wewe Mataga, kuna mtendaji anayetenda kinyune na Jiwe anavyotaka? Vp yule RC aliyekuwa wa mwisho kwenye kuuza hivyo vitambulisho, uteuzi wake ulitenguliwa na watendaji wa Jiwe?Raisi hana kosa ila watendaji wake wa chini ndiyo wanamuharibia!!
Maana yake mkeo sio machinga ila tuu alikuwa anataka kukwepa kulipa kodi kwa kutumia kitambulisho cha machinga .we utakuwaje ba leseni ,tin na kitambulisho cha machinga kama sio kutaka kucheza faulo.Mimi mke wangu amelipia kitambulisho Cha machinga,leseni ya biashara na amepewa TIN ya TRA.Analipa Kodi ya mapato na leseni ya biashara pamoja na kuwa na hicho kitambulisho Cha machinga.Angalau warudishe hata hiyo 20 Basi ,ili tubaki kulipa kodi halali!
Ni kazi ya wananchi kupiga na upinzani kulinda kura.Huyu Magufuli akishinda urais,watanzania wenzangu tujiandae kulia.
Kwani lazima kulipa kodi?Acha mawazo mgando na kodi wanalipaje?
Hii ndo Ripoti ya CAG??? Kweli wewe ni kichaa ulietukukainasema ivii
View attachment 1576759
Safi sana Mr President Lissu kanyaga hapohapo rais Wa wanyonge kachukua 20000 za walala hoi
Kweli kabisa!! Hivi vitambulisho hizi hela wala hazikwenda TRA sasa je zilienda wapi????Mradi wa vitambulisho vya machinga ulibuniwa ili kuipatia CCM pesa. Pesa hiyo, kwa mwaka huu ndiyo inayotumika kugharamia kampeni za CCM. Kwa hiyo mwaka huu ni machinga ndio waliojwezesha CCM kufanya kampeni.
Sent using Jamii Forums mobile app
alipewa kwanza kitambulisho cha machinga afanye biashara kabla ya mengineMaana yake mkeo sio machinga ila tuu alikuwa anataka kukwepa kulipa kodi kwa kutumia kitambulisho cha machinga .we utakuwaje ba leseni ,tin na kitambulisho cha machinga kama sio kutaka kucheza faulo.
Hahahaa mm mwenyewe nilikua nawaza hili akishinda huo mtiti iakua mtafutano.Roho ya visasi ni mbaya sanaHuyu Magufuli akishinda urais,watanzania wenzangu tujiandae kulia.
Na ndio atakuwa anaua CCM kwa mikono yake...nyomi za Lissu Ni kiashiria tosha!Hahahaa mm mwenyewe nilikua nawaza hili akishinda huo mtiti iakua mtafutano.Roho ya visasi ni mbaya sana
Leo tunaambiwa siyo lazimaNakumbuka Amos Makala alifukuzwa kisa kutokuuza vitambulisho.
Nakama siyo vya lazima kwanini viuzwe. Swali kifikirishi kwanini walioshindwa kuviuza walitumbuliwa tena nyuma ya MikameraSijui wenzangu mnaonaje ila mie naona Kama Jiwe ameshachanganyikiwa na Lissu ππππ
Kwa jinsi alivyokuwa anatoa amri mchana kweupe kuwa wamachinga lazima wapewe vitambulisho na akawapiga biti mbaya sana wakuu wa mikoa kusimamia siamini kama leo amezungumza haya πππ
Na mbaya zaidi hela ya kuviuza hatuambiwi ilipatikana kiasi gani na imetumika kwenye nini??? Awamu ya Tano kuna ufisadi sana . Kinachosababisha usisike ni vitisho vya kutekwa, kupewa kesi na kupigwa risasiNakama siyo vya lazima kwanini viuzwe. Swali kifikirishi kwanini walioshindwa kuviuza walitumbuliwa tena nyuma ya Mikamera