Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Vitambulisho vya Machinga sio lazima, acheni uongo

Geita,mtaa wa mgusu wamewalizimisha wamajinga na wamama wauza samaki kulipa hela ya kitambulisho pia na kutishia kuwafukugia na kuwafukuza kwenye biashara zao..hakika lissu amemkaba meko mpka basi.
Lissu shikilia hapo hapo,
 
Kwakuwa Lissu ndio kasema?
 
Umenena
 
Maana yake mkeo sio machinga ila tuu alikuwa anataka kukwepa kulipa kodi kwa kutumia kitambulisho cha machinga .we utakuwaje ba leseni ,tin na kitambulisho cha machinga kama sio kutaka kucheza faulo.
 
Safi sana Mr President Lissu kanyaga hapohapo rais Wa wanyonge kachukua 20000 za walala hoi

Watu wa political science mtusaidie KWENYE issue za kujibu hoja au kutokujibu.....
KWA mtazamo wangu mh. Raisi anapo jibu hoja za TL
Anampa credibility Ni Kama kumpigia kampeni.....

Hofu kubwa kwao Ni kuikabidhi nchi upinzani
Hofu pengine wakipewa upinzani wataharibu nchi....

All in all MUNGU ibarik Tanzania
 
Mradi wa vitambulisho vya machinga ulibuniwa ili kuipatia CCM pesa. Pesa hiyo, kwa mwaka huu ndiyo inayotumika kugharamia kampeni za CCM. Kwa hiyo mwaka huu ni machinga ndio waliojwezesha CCM kufanya kampeni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa!! Hivi vitambulisho hizi hela wala hazikwenda TRA sasa je zilienda wapi????

Kuna haja ya Raisi Tundu Antiphas Lissu kuanza kuchunguza hili akiingia tu madarakani hapo November mwaka huu!
 
Maana yake mkeo sio machinga ila tuu alikuwa anataka kukwepa kulipa kodi kwa kutumia kitambulisho cha machinga .we utakuwaje ba leseni ,tin na kitambulisho cha machinga kama sio kutaka kucheza faulo.
alipewa kwanza kitambulisho cha machinga afanye biashara kabla ya mengine
 
CCM ACHENI WOGA ...JENGENI MFUMO IMARA WA HAKI KUHALALISHA...UTAWALA ,KUNA SIKU MTAJUTA!
MNABOMOA UKUTA,KUUJENGAA ITAWAGHARIMU!
 
Nakama siyo vya lazima kwanini viuzwe. Swali kifikirishi kwanini walioshindwa kuviuza walitumbuliwa tena nyuma ya Mikamera
 
Nakama siyo vya lazima kwanini viuzwe. Swali kifikirishi kwanini walioshindwa kuviuza walitumbuliwa tena nyuma ya Mikamera
Na mbaya zaidi hela ya kuviuza hatuambiwi ilipatikana kiasi gani na imetumika kwenye nini??? Awamu ya Tano kuna ufisadi sana . Kinachosababisha usisike ni vitisho vya kutekwa, kupewa kesi na kupigwa risasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…