Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haa! Asante sana kwa kunikaribisha kwenye uzi huu. Naona ni badika bandua. Ufafanuzi, utafuata Mkuu.
Na wengine wako jela kwa kuuza nyanya bila kitambulisho sasa sijui watafanyajeKwa ndugu zetu wamachinga walikuwa wanaibiwa miaka yote hiyo aiseee inauma sanaa.
Lumumba fc wamejifungia semina saa hizi namna ya kujibu huu uzi. Wapo kimyaaaaaaaaaaa!
Atakuwa na hasira sio za kawaida. Na hivi ni mwenye visasi, haki tujiandae kweli si utaniHuyu Magufuli akishinda urais,watanzania wenzangu tujiandae kulia.
Sasa sijui wanamdanganya nani wakati wananchi smart tunawachora tuHela yote wamezitumia kusambaza mapicha yao kila kona.
Ndukiiiii [emoji125]♂️[emoji125]♂️[emoji125]♂️
Na bado ataweweseka mpaka basiAmeanza kunena kwa lugha sio
Amen,Let us fight for HerJustice.
Atatukomoa kweli ,ana roho ya visasiHuyu Magufuli akishinda urais,watanzania wenzangu tujiandae kulia.
Maccm yamesambaza mipicha picha yao na kuchafua miji yote lakini kwa taarifa yenu kura yangu hampati ng'oooooooooooooHela yote wamezitumia kusambaza mapicha yao kila kona.
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Ni wabinafsi sana, halafu wanaongoza kuchana picha za wenzao.Ccm ikiendelea kubaki madarakani itakuwa chama cha kigaidiMaccm yamesambaza mipicha picha yao na kuchafua miji yote lakini kwa taarifa yenu kura yangu hampati ng'ooooooooooooo
Akishinda uraisHuyu Magufuli akishinda urais,watanzania wenzangu tujiandae kulia.