Alimzingua nini Sumaye?
Vasco Dagama was very comfortable with women sijui kwa nini? Haiba yake au ukola?Sema yule mama alikua amekaa utamu sana..Dooh JK alikua alikua anakula vitam sana
Naona kuna upepo unavuma wa kuwapigia chapuo wakina mama wastaafu: kuna mwingine huko anampigia chapuo Asha Rose Migiro awe KM wa ccm!!Ikiwa kakumbukwa Adadi Rajabu kwann na Dr Mary Nagu asipewe maisha Tena? Tumeamua kwenda na wastaafu basi twende nao wote, tusibague. #Uzee_dawa#
Siasa ndio Iko hivyo. Katika siasa za ushindani, jina na cheo cha mtu sio daraja la kukuhakikishia lengo lako. Jiulize isingekuwa Lusinde kwenda kugombea Jimbo la Mtera 2010 kwa kuogopa jina na cheo pengine Mzee Malecela angekuwa bado mbunge wa jimbo hiloAlimgeuka akahamia kwa Lowassa halafu akagombea UNEC Manyara ambao Sumaye alikuwa naye anagombea. Kwa msaada wa Lowassa Nagu akamshinda Sumaye. Tangia hapo uadui ukaanza.
NaBO?JK? Ni sumaye, amemla Sana na kwa kuwa mume wake alikuwa mlevi, jamaa alikuwa anajipigia tu.
Bahati nzuri hakuvunja ndoa kama Yule wa segerea, wa segerea alikamatwa live chumbani akiliwa
Aende kwao Hanang akale mafao yake! Wanapokuwa serikalini, mashamba yote yenye rutuba.huwa wanajimilikisha, Sasa akalime hayo mashamba.Ajiajiri kama wanavyofanya vijana freshers from school.
Nilitaka nikushushie gazeti nkaona haina maana sana lkn kiufupi safar ya marry nagu na sumaye inafanana kbs jokate na jenista mhagamaWanawake wa UWT Arusha ndio waliomleta na kimtambulisha kwenye siasa na hatimaye kuwa hapo alipofik
We yuko wapi Getruda? Mara ya mwisho huyu Binti aliletwa kuishi na Mzee Nagu Moro, alikuwa na churaaa!!Wewe Una mchango gani kwa taifa lipi?
Kama hutajali, nitumie namba ya Getruda pm.Wewe Una mchango gani kwa taifa lipi?
Peramiho 2025 tunamchagua Dr Jokate Urban MwegeloNilitaka nikushushie gazeti nkaona haina maana sana lkn kiufupi safar ya marry nagu na sumaye inafanana kbs jokate na jenista mhagama
Kwani nyie watoto na wajukuu wake hamna koneksheni kama ya January na Riziwani ?Ikiwa kakumbukwa Adadi Rajabu kwann na Dr Mary Nagu asipewe maisha Tena? Tumeamua kwenda na wastaafu basi twende nao wote, tusibague. #Uzee_dawa#
si lazimaIkiwa kakumbukwa Adadi Rajabu kwann na Dr Mary Nagu asipewe maisha Tena? Tumeamua kwenda na wastaafu basi twende nao wote, tusibague. #Uzee_dawa#
Adadi Rajabu kapewa kazi gani na mama Abdul?Ikiwa kakumbukwa Adadi Rajabu kwann na Dr Mary Nagu asipewe maisha Tena? Tumeamua kwenda na wastaafu basi twende nao wote, tusibague. #Uzee_dawa#
Sema yule mama alikua amekaa utamu sana..Dooh JK alikua alikua anakula vitam sana
AmeshazeekaSema yule mama alikua amekaa utamu sana..Dooh JK alikua alikua anakula vitam sana