Mayu mwache mzee wa watu !Alibadilisha gia angani....yanayoendelea sasa ingekuwa enzi za JPM Mwanakijiji wangemkoma kwa mistari!ni kama wewe ulivyokuwa unasisimua miaka ya 2010s kabla ya kuchagua udini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mayu mwache mzee wa watu !Alibadilisha gia angani....yanayoendelea sasa ingekuwa enzi za JPM Mwanakijiji wangemkoma kwa mistari!ni kama wewe ulivyokuwa unasisimua miaka ya 2010s kabla ya kuchagua udini
acha kabisa mayu. inamuuma lakini hana jinsi anaogopa kula matapishi ya kubadili gia angani.Mayu mwache mzee wa watu !Alibadilisha gia angani....yanayoendelea sasa ingekuwa enzi za JPM Mwanakijiji wangemkoma kwa mistari!
Duh halafu yeye na ndugu yake walikuwa hawaongei na jana tu katoka kusema bungeni eti hakuna mbunge aliyekufa kwa Corona bali ni umbea tu!
[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]uzee haukimbiwi[emoji144][emoji144][emoji144][emoji25][emoji25]Usituzeeshe[emoji23]
View attachment 1440056
Aliwayewahi kuwa Mbunge wa Ubungo na Mbunge wa kuteuliwa na Rais, Dkt. Masumbuko Lamwai amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Mei 05, 2020.
Dkt. Lamwai atakumbukwa kama Mwanasiasa machachari, Mwanasheria nguli na Mkufunzi Mwandamizi (senior lecturer) wa Tumaini University.
Akiwa NCCR-Mageuzi, alikuwa na wanasiasa wengine wakongwe kama Mabere Marando, Marehemu Dk Sengondo Mvungi (RIP), Augustine Mrema, Makongoro Nyerere, Prince Bagenda, Ndimara Tegambwage, Stephen Wassira na wengine wengi.
Katika Uchaguzi Mkuu wa Vyama Vingi wa 1995, NCCR-Mageuzi walitetemesha na kutingisha nchi mpaka Mwl Nyerere akaingilia kati baada kusimama majukwaani CCM.
Baadae alijivua uanachama wa NCCR na kuhamia CCM.
Mwenyezi Mungu amjalie pumziko la amani.
=====
SOMA: BAADHI YA KESI ALIZOWAHI KUSIMAMIA
Jinsi mbunge Ramadhan Kihiyo alivyojiuzulu baada ya kashfa ya kufoji vyeti - JamiiForums
Mbunge wa Longido Onesmo Nangole (CHADEMA) huenda akavuliwa ubunge kwa kufoji elimu - JamiiForums
Sarah Simbaulanga: Mwanamke wa kwanza kuiba pesa ndefu katika historia ya benki zote nchini - JamiiForums
Hivi hiyo Clip ipoDuh halafu yeye na ndugu yake walikuwa hawaongei na jana tu katoka kusema bungeni eti hakuna mbunge aliyekufa kwa Corona bali ni umbea tu!
Baambiage!![emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]uzee haukimbiwi[emoji144][emoji144][emoji144][emoji25][emoji25]
Jr[emoji769]
Wote hao wameshatangulia mbele ya haki
Duuh Roman amefariki lini??Wote hao wameshatangulia mbele ya haki
Lissu ni nini aisee kwenye sekta ya sheria? Huko kuna manguli ambao hawategemei vyama kusikika, wanapiga kazi zao kimya kimya tu, Lisu ni mwanasheria maarufu kupitia siasa.Hivi kati ya huyu Marehemu Lamwai na Lissu ni nani ametakata vilivyo katika Nyanja nzima ya Sheria na Uwakili nchini Kwetu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120]utaelewa tu barakoa na santizer .. kulisaitazer tumbo kwa vladmirWiki ya njia panda hii.