PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hili jamaa lilikuwa pasua kichwa sana.
Nakumbuka alikuwa anakuja Arusha na Totos double kwa mpigo, alafu zote kali.
Kuna siku akafika Hoteli moja usiku na misifa yake, Gari lipo 'full blast' Wahudumu wa mapokezi wakamuomba apunguze sauti, akapayuka "hamtaki kelele kwani huku wanaishi Twiga...Twiga ndio hawapendi kelele"
Nasikia wife wa K alimpora shoga ake wa Damu ndo ye kuolewaKinje hakua ametulia na Kiki Zimba pia alikua kwenye list
😂 😂 😂Kinje hamzidi Gwajiboy, nakataa......!
koloni ambalo limeshazalishwa watoto wawili mapacha. watato watakuwa wanamuita uncle kinje.Jack aliona amfuate Mengi mwenye pesa zake,sio Kinje mwenye kutegemea za mzee Kingunge. Kije arudie sasa koloni lake.
nilisikia yeye mwenyewe alidai kufundishwa na mzungu mpk akawa addicted sanaAmekua mbayaaaaa... bora alivyokua na nyama tu. Kuna rafik yangu mmoja wa town aliniambia F I ndio alimfundishaga tigo na kumnyonya huko kwenye tigo
Looh.. addiction nyingine bwananilisikia yeye mwenyewe alidai kufundishwa na mzungu mpk akawa addicted sana
sasa & kupungua kwake kwa sasa hilo shimo litakuwa kama tanuru
Jamani kakaoa kadogo ana ka Anita..Nasikia wife wa K alimpora shoga ake wa Damu ndo ye kuolewa
KiKi = Kinje & Kisa. Watu mpaka wanajua ndio jina la dada designer kumbe walaaaKinje hakua ametulia na Kiki Zimba pia alikua kwenye list
shida ya kutaka kukimbizana na maisha ndio hiyoLooh.. addiction nyingine bwana
Kila siku anapambana na michepukoJamani kakaoa kadogo ana ka Anita..
Kisa anapenda kwa moyo ndiyo maana anaishia kupata magalasa. Wenzake wanapenda material things ndiyo wanaibua ma bilioneaKiKi = Kinje & Kisa. Watu mpaka wanajua ndio jina la dada designer kumbe walaaa
Simuoni wala sisikii story zake mjini siku hizi.shida ya kutaka kukimbizana na maisha ndio hiyo
hivi hiyo a.k.a yake ya 'Lady Gaga wa Bongo' bado anaitumia?
Nilikuwa najua ndo jina lake 😂😂,sasa kwanini kaendelea kulitumia wakati kaolewaKiKi = Kinje & Kisa. Watu mpaka wanajua ndio jina la dada designer kumbe walaaa
Na ana moyo jamani.. Nilijuaga after video ya Kinje na Tunda na kule kumchamba Ade snapchat ingekua ndo bye bye juzi naona mtu kawapost Kinje na Anita nikasema eeeh baba ukinipa mume nipe moyo wa kujitambua na kujithamini mimi kwanzaKila siku anapambana na michepuko
.....jabir kigoda?Enzi hizo awamu ya tatu kuna vijana walikuwa na pesa sana. Akiwemo yule kijana wa Handeni dingi alikuwa waziri.
Yes yes... Hizo ndio kapo zilizoachana na majina yakabaki kama wamezaliwa nayoKiKi = Kinje & Kisa
JoJo = Jokate & John (Mnyika).
yale magari yake yaliyokamtwaga yaliishia wapi?.....jabir kigoda?
Ndo watu wanalijua mama. Kama Jojo watu hawajuagi kama Jo nyingine ni ya MnyikaNilikuwa najua ndo jina lake [emoji23][emoji23],sasa kwanini kaendelea kulitumia wakati kaolewa
maisha hayana mbabe wala mjuzi siku zoteSimuoni wala sisikii story zake mjini siku hizi.
Wanakimbizana nayo halafu hawafiki nayo mwisho wanarudi tena nyuma.