Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Dadeki...haina haja ya kuandika sasa...kama hamtaki tuelewe wengine...mkaongee PM tu mnaojuana sasa.
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16],,mi mwnyewe wamenivuruga ikabidi na mimi nivuruge tu.
 
Regina ni huyu Reg wa mzee wetu aliyetangulia ?
 

Inasikitisha sana kama itakuwa kweli!

Ndugu zao wawapeleke kwenye maombi ya nguvu wakafunguliwe na kuwekwa huru kabisa!

Yani ndugu zao wa karibu wafunge kavu na kuomba huku wakimsihi mwenyezi Mungu awafungue jamani mmwee [emoji24][emoji24]

Maskini wenyewe wala hawaoni kama kuna shida mahali miaka inakatika tu!

Mungu atuhurumie
 
[emoji106]
 
Another Bogus point of View😁😁😁
 
Ishu ya Regina naijua na inasemekana ndo demu wa kudumu wa Salama,vee huyu mdee?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Lydia kuna mtu namfananisha nae
Sema mjini mambo ni mengi mnoo. Eti wanasema Jack pia alishawahi kulana na Regina tena wakawa wanaishi nyumba moja mke na mume. Na ndio maana Regina anamchukia Jack kwa kuwa kala kuku na mayai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…