Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Dadeki...haina haja ya kuandika sasa...kama hamtaki tuelewe wengine...mkaongee PM tu mnaojuana sasa.
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16],,mi mwnyewe wamenivuruga ikabidi na mimi nivuruge tu.
 
Inamaana hilo nikama tatizo la kisaikolojia ama waliwahi kutendwa na wanaume hadi hawatamani kuwa na wanaume?

Regina nimemwona ni mtu mzima lakini hakukuwa na njemba ama mtoto wake walionekana wakiwa pembeni yake pale msibani wakimuhusu yeye.


Salama naona naye umri umesogea anaonekanaga kimeni meni vile vile.


Huu ndio mfumo huwa wanajichagulia watu wa namna hiyo
Katika maisha yao na huwa hawapendi kuwa na famili hata kama wanauchumi?
Regina ni huyu Reg wa mzee wetu aliyetangulia ?
 
Inamaana hilo nikama tatizo la kisaikolojia ama waliwahi kutendwa na wanaume hadi hawatamani kuwa na wanaume?

Regina nimemwona ni mtu mzima lakini hakukuwa na njemba ama mtoto wake walionekana wakiwa pembeni yake pale msibani wakimuhusu yeye.


Salama naona naye umri umesogea anaonekanaga kimeni meni vile vile.


Huu ndio mfumo huwa wanajichagulia watu wa namna hiyo
Katika maisha yao na huwa hawapendi kuwa na famili hata kama wanauchumi?

Inasikitisha sana kama itakuwa kweli!

Ndugu zao wawapeleke kwenye maombi ya nguvu wakafunguliwe na kuwekwa huru kabisa!

Yani ndugu zao wa karibu wafunge kavu na kuomba huku wakimsihi mwenyezi Mungu awafungue jamani mmwee [emoji24][emoji24]

Maskini wenyewe wala hawaoni kama kuna shida mahali miaka inakatika tu!

Mungu atuhurumie
 
Inasikitisha sana kama itakuwa kweli!

Ndugu zao wawapeleke kwenye maombi ya nguvu wakafunguliwe na kuwekwa huru kabisa!

Yani ndugu zao wa karibu wafunge kavu na kuomba huku wakimsihi mwenyezi Mungu awafungue jamani mmwee [emoji24][emoji24]

Maskini wenyewe wala hawaoni kama kuna shida mahali miaka inakatika tu!

Mungu atuhurumie
[emoji106]
 
Wewe ndiyo bogus siyo mimi!
Nisome tena vizuri usikurupuke!

Jamaa wamesema bangi haina tatizo, mmoja akasema aliwahi tumia na hakuona tatizo.

Mimi nikasema, tatizo la bange anaetumia anaweza asione tatizo la kutumia bange isipokuwa wale wanaomzunguuka, wale atakaokutana nao baada ya kuvuta bange ndiyo wataona madhara ya Yule alovuta bange ,
Mfano wale atakaokutana nao wanawezwa kutukanwa, kupigwa , kuibiwa na Yule alovuta bange, lakini yeye alovuta anajionea sawa tu!

Mambo mengi kuyaelewa hadi uwe na akili kubwa, mwenye akili ya kiwango chako hawezi elewa kama wewe, halafu badala ya kunyoosha kidole Adela wangu uniulize vizuri nikupe ufafanuzi badala yake unaleta ujuaji? [emoji851][emoji851]

Kwa maneno mengine mpumbavu afanyapo upumbavu machoni pake hujiona sawa lakini kwa wengine ni shida!
Another Bogus point of View😁😁😁
 
Ishu ya Regina naijua na inasemekana ndo demu wa kudumu wa Salama,vee huyu mdee?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Lydia kuna mtu namfananisha nae
Sema mjini mambo ni mengi mnoo. Eti wanasema Jack pia alishawahi kulana na Regina tena wakawa wanaishi nyumba moja mke na mume. Na ndio maana Regina anamchukia Jack kwa kuwa kala kuku na mayai
 
Back
Top Bottom