Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Klyn ajiandae kisaikolojia, wale wengi walio kuwa wanampa heshima kama mke wa Mengi stashangaa kuona wanampita bila salamu.

Pesa atakua nayo lakini asishangae kuona anaumia Kwenye mapenzi. Kumpata mwanaume aliyempenda kama babu haitakuwa rahisi.
Lakini hatakuwa mtu wa kwanza kuumizwa na mambo ya kimapenzi.
 
Kinje ndio alikuwa na bifu na Mengi baada ya kuchukuliwa mwanamke, Mengi hawezi kuwa na bifu na underdog kama kinje na hilo bifu lenyewe haliku materialize
Underdog [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Another Bogus point of View[emoji16][emoji16][emoji16]

Rudi nyuma uone jinsi watu walivyopiga “likes” hoja zangu zidi yako!

Wewe hata like ya ngama hujapata [emoji14][emoji14]

Je hapo bogus atakuwa nani?

Mwana leo umevaba ile mbaya [emoji3][emoji3][emoji3]

Kiingereza chenyewe cha ngama, ukiambiwa uandike fluently hapo kwako itakuwa ni mtihani mkubwa sana!

Siku nyingine nakushauri unyooshe kidole kwanza kuuliza kupata ufafanuzi kabla ya kuanza kujichoresha !
Sina nia mbaya ya kukurudisha darasani !

Tena nakustahi !
 
Irene yuko makini kutakmaisha ya juu, sasa hivi katulia kwa sababu amepata bwana mwenye hela ya ufusadi wa baba ake, wale hawataki maisha ya kupima mkaa kwa Dula, wala kwenda gengeni kwa mama Juma mkuu, Irene nadhani kapita mlimani chuo.
ha ha ha ha ha eti kupima mkaa kwa Dula ila kweli mi mtu wa kula bia hotel kubwa nawaona sana wanadanga hawa wadada wa mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…