Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Basi hongera yake kwa kula chumvi nyingi na ku maintain muonekano wa kuvutia.Mwaka 2004 nilisoma jarida km sio bang basi Femina sasa laitwa FEMA alikua ana 44 nakumbuka vzr tuu!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi hongera yake kwa kula chumvi nyingi na ku maintain muonekano wa kuvutia.Mwaka 2004 nilisoma jarida km sio bang basi Femina sasa laitwa FEMA alikua ana 44 nakumbuka vzr tuu!!!
So ana miaka mingapi kulingana birth certificate ?Madam anadanganya umri yule
Lakini hatakuwa mtu wa kwanza kuumizwa na mambo ya kimapenzi.Klyn ajiandae kisaikolojia, wale wengi walio kuwa wanampa heshima kama mke wa Mengi stashangaa kuona wanampita bila salamu.
Pesa atakua nayo lakini asishangae kuona anaumia Kwenye mapenzi. Kumpata mwanaume aliyempenda kama babu haitakuwa rahisi.
Na yeye alishaumiza watuLakini hatakuwa mtu wa kwanza kuumizwa na mambo ya kimapenzi.
Niliona ufafanuzi. Nkaelewa vizuri kabisaaaaaKuruka ukuta ile yenyewe son sio hiyo unayofikiria wewe
Ndio kuna baadhi ya watu mnaitaga karma sio.Na yeye alishaumiza watu
Si kuwa huko kabisa but what I know is that once you lose the real love is not easy to catch it soon, sometimes never.Ndio kuna baadhi ya watu mnaitaga karma sio.
I dont believe in karma tho.....
Umeongea maneno mazito sana mama la mama.Si kuwa huko kabisa but what I know once you lose the real love is not easy to catch it soon, sometimes never.
Ngoja nianze kuzipitia mdogomdogoJitahidi kupitia na comment zangu najibu kwa hekima pia. Unaweza nipenda[emoji41]
Naomba nkusaidie free of charge.Ngoja nianze kuzipitia mdogomdogo
Underdog [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kinje ndio alikuwa na bifu na Mengi baada ya kuchukuliwa mwanamke, Mengi hawezi kuwa na bifu na underdog kama kinje na hilo bifu lenyewe haliku materialize
Nisadie maana yake nimepewa kazi isiyokuwa na mshaharaNaomba nkusaidie free of charge.
Niwe nakuwekea wapi sasa yale ninayoyakusanya ?Nisadie maana yake nimepewa kazi isiyokuwa na mshahara
Popote utakapoona panafaaNiwe nakuwekea wapi sasa yale ninayoyakusanya ?
Kule PATA MANUFAA a.k.a PM geti liko wazi?Popote utakapoona panafaa
Limefungwa ngoja nitafute ufunguoKule PATA MANUFAA a.k.a PM geti liko wazi?
Nianze kuziweka huko.
Another Bogus point of View[emoji16][emoji16][emoji16]
Mwenyewe namsaka sijamfikia bado.. ngoja nikimalizana nae nitakuweka dear
Salama na Regina ninaifahamu muda mrefu.Ya Salama na Regina mwenyewe ndo nimeinyaka leo
ha ha ha ha ha eti kupima mkaa kwa Dula ila kweli mi mtu wa kula bia hotel kubwa nawaona sana wanadanga hawa wadada wa mjiniIrene yuko makini kutakmaisha ya juu, sasa hivi katulia kwa sababu amepata bwana mwenye hela ya ufusadi wa baba ake, wale hawataki maisha ya kupima mkaa kwa Dula, wala kwenda gengeni kwa mama Juma mkuu, Irene nadhani kapita mlimani chuo.