Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Bado point yako ni ya kiwack
Hayo yote unayosema sio sahihi....nakula 'kitu' kwa sana tokea 2008 na sijawah kumtukana ata mbuzi.
Na usikariri kwamba 'kitu' ni kwa ajili ya vijana tu. Kwa taarifa yako hadi madingi wanakula 'kitu' na wako fresh sasa hiyo point yko sijui ina apply wapi!
Bado point yako ni ya kiwack
Hayo yote unayosema sio sahihi....nakula 'kitu' kwa sana tokea 2008 na sijawah kumtukana ata mbuzi.
Na usikariri kwamba 'kitu' ni kwa ajili ya vijana tu. Kwa taarifa yako hadi madingi wanakula 'kitu' na wako fresh sasa hiyo point yko sijui ina apply wapi!
Dah!Haahaahaa! Wanadai mcheza mpira wa kikap kaharibu bana , si unajua ana maumbile makubwa....
Bado point yako ni ya kiwack
Hayo yote unayosema sio sahihi....nakula 'kitu' kwa sana tokea 2008 na sijawah kumtukana ata mbuzi.
Na usikariri kwamba 'kitu' ni kwa ajili ya vijana tu. Kwa taarifa yako hadi madingi wanakula 'kitu' na wako fresh sasa hiyo point yko sijui ina apply wapi!
ila foleni yao ndefu, jojo, madam, magese haya ndio akaja mjane JakyWakati madam akiwa na mengi, kulikuwepo na sintofahamu ,kelele kibao na yule Mke wa kwanza, ndio maana madam alikuwa hajazaa na mengi kwa sababu ya vurugu za familiya, sasa ka Jack kalikuwa ka shost ka madam, si kadangaji nako, kakakawa kanajisogeza, kumbuka madam ashachoka zile sekeseke.
Basi Jack akajisogeza na akafanikiwa.
Nb. Nimeongea jujuu.
nitoe mate? kuna watu hawamjui Jacky ndio nikaona niweke mhhhh!We Sara wewe
[emoji3][emoji3][emoji3] hamna iache tunitoe mate? kuna watu hawamjui Jacky ndio nikaona niweke mhhhh!
Nimestuka maana angeniita mtu mwingine nisingejali ila sio wewe hahahha,[emoji3][emoji3][emoji3] hamna iache tu
Hahaha mimi nna nini wajameni, bongo acha kabisa hyu Jack avumilie tu hizi siku chache na aombe atokee mtu wa kutupa cha kuongea....tutamsahau mazimaNimestuka maana angeniita mtu mwingine nisingejali ila sio wewe hahahha,
episod za tamthilia za bongo ni zinakuaga tam jamani
Tumemaliza ya Nandy na Ruge, mala Mengina Jacky, Mala Gwajima sasa hatuna hata muda na Shamimu na mumewe
Watu tumegoma kumwongelea Shamimu, Pole Zake Jacky kwa kweliHahaha mimi nna nini wajameni, bongo acha kabisa hyu Jack avumilie tu hizi siku chache na aombe atokee mtu wa kutupa cha kuongea....tutamsahau mazima
Ishu ya Regina naijua na inasemekana ndo demu wa kudumu wa Salama,vee huyu mdee?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Lydia kuna mtu namfananisha nae
Sio rejina ni ReginaRejina kumbe ajuza...!!!
Kuliwa na madingi hakufanyi bange kufaa kwa matumizi !
Kuna madingi wanakunywa gongo je hiyo ifanye gongo kufaa kwa matumizi?
Kuna madingi ni wazinifu waliokubuhu kwenye mfumo huo wa maisha , je tuseme kwa kuwa madingi wanazini kwa hiyo tabia ya uzinzi inafaa ?
Tafakali kisha chukua hatua ,
Maisha ya utii wa sheria bila shuruti yanawekana!
Kitabibu hii kukatwa utumbo imekaaje daktari? siku hizi haka katabia kanashika mzizi bongo. kwanza ni sehemu gani ya utumbo wanakataga? Au wanakatwaga tu appendix wakifika mtaani wanatuambia wamekata utumbo......Hahahahaha!Kuna wakati nilimuona amekwisha wala hapendezi tena, wanadai alikatwa utumbo ili akonde.
Wana punguza mfuko wa tumbo hivyo ukila kidogo tu unakuwa umeshiba.Kitabibu hii kukatwa utumbo imekaaje daktari? siku hizi haka katabia kanashika mzizi bongo. kwanza ni sehemu gani ya utumbo wanakataga? Au wanakatwaga tu appendix wakifika mtaani wanatuambia wamekata utumbo......Hahahahaha!
Huyo binti Salama ana pepo la ajabu!
basi nako kamekula chumvi kimtindo kipindi iko unasoma kalikuwa na mishe gani zingine?
Kuna mtu nilimuambia Jimmy Kabwe anaitwa Jumanne Kabwela alinibishia sisahauNdiye. Alikuwa anasokota dread. Mzaramo nadhani.
Nakumbuka Salama Jabir alikuwa anapenda sana kumtania kuhusu jina lake.
Ila kusema ukweli jamaa ni mbunifu. Jumanne Kabwela halikuwa na swaga kabisa aisee [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
NJimmy Kabwe si ndiye yule mtangazaji aliyefupisha jina lake kutoka Jumanne Kabwela?
ila foleni yao ndefu, jojo, madam, magese haya ndio akaja mjane Jaky