Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Jack alikuwa rafiki Wa madam Rita, baada ya madamu kutofautiana na mengi basi jack nae kapenya.

N.b kitu ambacho sitosahau mengi alikuwa mwanaume wa kwanza kwenda karagwe mulongo na helicopter kwa ajili ya madam.
Huko Karagwe ndio kwakina huyo madam?na alikwenda na hiyo helicopter kufanya nini kumchukua au ni jambo gani lilimpeleka huko?
 
Mkuu Mengi hakumchukua Jacky kwa Kinje, Mengi amemchukua Jacky akiwa hana bwana wa maana, alikuwa anajizungusha pale Kilimanjaro hotel, bi dada kutwa na maifile anakaa anajifanya yuko busy kumbe alikuwa anadanga, kama zile file zilikuwa na maandishi itakuwa ni mistari ya bongo fleva tu.. Kinje aliporwa na mzungu, mzungu akamla akaenda kumuacha south Africa , wakarudi na shoga ake WAPOLE..
Mwasu nakuamini sana kwenye mastory ya town mkuu lakini kagua vizuri mafaili hapo..

Kinje na Mengi washaingia kwenye bifu kisa huyu sister mpaka kutishiana bunduki. Ishu ikazimwa na wanene.

Hiyo ya kutoka na mzungu pia niliisikia lakini ni kabla ya varangati hilo tajwa.

Kwa ufupi, hawa mamiss walikuwa desperate sana enzi zile na makuwadi wakubwa walikuwa mzee Lunde, ShiBalimi na mzee mmoja namheshimu siwezi kumtaja hapa..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mleta post naona katupiga kamba eti"lilikuwa bifu zito pesa ikashinda"


Unajua chochote kuhusu huyo Mzungu mbulugaria na project alizokuwa anawafanyisha wadada wa mjini huko bondeni?
Mkuu fuatilia vizuri.. Anzia tu bifu la marehemu na kinje utapata jibu. Very simple[emoji16][emoji16]

Tena ile story nakumbuka ilishachapishwa kwa mafumbo kwenye magazeti ya udaku enzi zile!
 
Mwasu nakuamini sana kwenye mastory ya town mkuu lakini kagua vizuri mafaili hapo..

Kinje na Mengi washaingia kwenye bifu kisa huyu sister mpaka kutishiana bunduki. Ishu ikazimwa na wanene.

Hiyo ya kutoka na mzungu pia niliisikia lakini ni kabla ya varangati hilo tajwa.

Kwa ufupi, hawa mamiss walikuwa desperate sana enzi zile na makuwadi wakubwa walikuwa mzee Lunde, ShiBalimi na mzee mmoja namheshimu siwezi kumtaja hapa..
Malizia tu hahahaha
 
Mwasu nakuamini sana kwenye mastory ya town mkuu lakini kagua vizuri mafaili hapo..

Kinje na Mengi washaingia kwenye bifu kisa huyu sister mpaka kutishiana bunduki. Ishu ikazimwa na wanene.

Hiyo ya kutoka na mzungu pia niliisikia lakini ni kabla ya varangati hilo tajwa.

Kwa ufupi, hawa mamiss walikuwa desperate sana enzi zile na makuwadi wakubwa walikuwa mzee Lunde, ShiBalimi na mzee mmoja namheshimu siwezi kumtaja hapa..
[/QUOKinje alinyang'anywa na mzungu sio Dr. ugomvi labda issue nyingine halafu DR. ilikuwa uki mcheat anakumwaga, hakuwa na muda wa kushare au kubembeleza..Labda alimletea dharau kwa kuwa anatoka na dem ambae anamjua nae kesha mfunua funua mzee akachukia.
 
Mzee hakuwa na muda wa kubembeleza demu akujua ume mcheat anakumwaga mazima, Kinje alinyang'anywa na mzungu sio DR. ugomvi labda Kinje alimletea DR. dharau kwaa kuwa anatoka na demu alietoka nae na ukizingatia alinyang'anywa labda alikuwa anataka kumuharibia bi dada nae akaenda kujiliza kwa mzee ili asiachwe, maana alishajua katoka kimaisha..ila DR. kugombania demu hapana.
 
Mzee hakuwa na muda wa kubembeleza demu akujua ume mcheat anakumwaga mazima, Kinje alinyang'anywa na mzungu sio DR. ugomvi labda Kinje alimletea DR. dharau kwaa kuwa anatoka na demu alietoka nae na ukizingatia alinyang'anywa labda alikuwa anataka kumuharibia bi dada nae akaenda kujiliza kwa mzee ili asiachwe, maana alishajua katoka kimaisha..ila DR. kugombania demu hapana.
See? Alinyang'anganywa. Hapo sawa.
 
ayang'anywa na mzungu sio DR.. kwa hiyo alikuwa na hasira nae labda akawa anamtishia, bibi akaomba msaada hunda, ila machache agombee demu never, angeanza kwa madam basi maana pale alifika mpaka kuruka ukuta si mchezo.
Hebu tupe hiyo ya kuruka ukuta
 
ayang'anywa na mzungu sio DR.. kwa hiyo alikuwa na hasira nae labda akawa anamtishia, bibi akaomba msaada hunda, ila machache agombee demu never, angeanza kwa madam basi maana pale alifika mpaka kuruka ukuta si mchezo.
Mkuu unavyokataa kuwa machache hawezi kugombea demu basi hujayajua vizuri mapenzi [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Alinyang'anywa na mzungu sio DR.. kwa hiyo alikuwa na hasira nae labda akawa anamtishia, bibi akaomba msaada hunda, ila machache agombee demu never, angeanza kwa madam basi maana pale alifika mpaka kuruka ukuta si mchezo.
Hahaha ile ya kuruka ukuta kukimbia msala wa Mama Merci au? Maisha haya!
 
Back
Top Bottom