Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Dkt. Mengi alivyomchukua Jacky kwa Kinje

Nazani hainashida kwa anayeitumia isipokuwa kwa wale wanaomzunguuka!

Mfano; jambazi akivuta bange ili impe roho ya ukatili anapoenda kuiba , kwa jambazi alovuta ataona haina shida lakini kwa upande wa wale wanaoenda kuvamiwa na kuibiwa na kupigwa hakika wao wataona bangi ni mbaya na mazara yake ni makubwa kwenye jamii.
Bogus Point of view and expression!
 
Siri za Jaky Mengi nje nje wiki hii, lol Watz hahah, Ningekuwa Jack nahama nchi baada ya msiba lol
Unahamaje nchi kwa Maneno ya Chuki toka kwa Loosers!? Jacky kashaula hata muandike humu hadi vidole vikauke ukweli ni kwamba kashawaacha mbali sana Kiuchumi na kwa vitu vingi tu. Acheni Roho mbaya na kupenda kusema watu as if nyie ni angels.
 
Bogus Point of view and expression!

Wewe ndiyo bogus siyo mimi!
Nisome tena vizuri usikurupuke!

Jamaa wamesema bangi haina tatizo, mmoja akasema aliwahi tumia na hakuona tatizo.

Mimi nikasema, tatizo la bange anaetumia anaweza asione tatizo la kutumia bange isipokuwa wale wanaomzunguuka, wale atakaokutana nao baada ya kuvuta bange ndiyo wataona madhara ya Yule alovuta bange ,
Mfano wale atakaokutana nao wanawezwa kutukanwa, kupigwa , kuibiwa na Yule alovuta bange, lakini yeye alovuta anajionea sawa tu!

Mambo mengi kuyaelewa hadi uwe na akili kubwa, mwenye akili ya kiwango chako hawezi elewa kama wewe, halafu badala ya kunyoosha kidole Adela wangu uniulize vizuri nikupe ufafanuzi badala yake unaleta ujuaji? [emoji851][emoji851]

Kwa maneno mengine mpumbavu afanyapo upumbavu machoni pake hujiona sawa lakini kwa wengine ni shida!
 
Inaonekana Kinje alikuwa hatari mjini,maana mastori yanayomhusu yamejaa tele,hivi bado anakimbiza town au mawingu yameanza kutanda?
Alikuwa mkali kwa watoto wa Mama wachache sana waliokuwa wanashoboka nae. Kwenye the realiest list ya Dons wa Dar hayumo!
 
Wewe ndiyo bogus siyo mimi!
Nisome tena vizuri usikurupuke!

Jamaa wamesema bangi haina tatizo, mmoja akasema aliwahi tumia na hakuona tatizo.

Mimi nikasema, tatizo la bange anaetumia anaweza asione tatizo la kutumia bange isipokuwa wale wanaomzunguuka, wale atakaokutana nao baada ya kuvuta bange ndiyo wataona madhara ya Yule alovuta bange ,
Mfano wale atakaokutana nao wanawezwa kutukanwa, kupigwa , kuibiwa na Yule alovuta bange, lakini yeye alovuta anajionea sawa tu!

Mambo mengi kuyaelewa hadi uwe na akili kubwa, mwenye akili ya kiwango chako hawezi elewa kama wewe, halafu badala ya kunyoosha kidole Adela wangu uniulize vizuri nikupe ufafanuzi badala yake unaleta ujuaji? [emoji851][emoji851]

Kwa maneno mengine mpumbavu afanyapo upumbavu machoni pake hujiona sawa lakini kwa wengine ni shida!
Unazidi kuonesha how Bogus you are!😁😁
 
  • Thanks
Reactions: T11
Huyo mbulgaria alikuwa Mafia alafu bonge la mhuni wa madem,alishigi na mtu fulani nakumbka moroco pale
Kumbukeni kisanga kile cha wadada fulani walipelekwa dizonga waliambiwa kuna tangazo wanaenda kufanya hko la biashara
Kufika hko ikawa ndivyo sivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Nakumbka mpk interpol waliingilia kati
Na huyo mbulgaria mpk leo hjarudi bongo
Ngj tuishie hpo

Ova
Nikipata nauli nahamia Dar maana inaonekana kuna mambo mengi,wa mikoani tunacomment wapi?
 
Unazidi kuonesha how Bogus you are![emoji16][emoji16]

Wewe ndiyo utabaki kuwa bogus!

Jifunze kufuata mtiririko (flow) ya majadiliano upate concepts ya kile kinachoongelewa na siyo kukurupuka na kumnukuu mtu kile alichosema bila kuzingatia yatokanayo!

Nyoosha kidole @ Adela [emoji3][emoji3] sina niya mbaya ya kujurudisha darasani [emoji3][emoji3]!

Kama hujamuelewa mtu muungwana humuuliza mtu uko na maana gani na siyo kujichoresha jamvini kila ajue kiwango chako cha ufahamu kilivyo cha mashaka!
 
Back
Top Bottom