TANZIA Dkt. Misanya Bingi, Mhadhiri wa UDSM na Mtangazaji wa zamani wa Radio One afariki dunia

R.I.P Dkt Misanya Bingi namkumbuka enzi zile na kipindi cha kipusa.....sote njia yetu ni moja.
 
Nnakumbuka kipindi Marehemu anafanya kazi Radio One ilikuwa ni kipindi cha chaguo la msikilizaji kama nitakuwa sijakosea ulitokea msiba nnadhani wa mama yake mzazi kwao Dodoma ndugu zake ilikuwa wakimpigia simu yake haipatikani ili wamjulishe habari za msiba, ndugu yake alimpigia simu live kama msikilizaji anayetaka kuchagua muziki kumjulisha msiba wa mama yake hakuendelea na kipindi ulipigwa muziki mfulizo baadae marehemu Julius Nyaisanga ilibidi aendelee na kipindi na kutoa utaratibu mzuri wa kutoa taarifa ya msiba.
 
Duh huyo ndugu ana akili ya peke yake
 
Sijui ni Mimi ndio sielewi hiyo title hapo juu. 😳 Any way Mwenyezi Mungu ampe uponyaji.
 
Poleni Ndugu na jamaa wa Misanya Bingi, pole ya kupoteza!
 
Au ni yule anapenda kuvaa pensi na kofia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…