Dkt. Modestus Francis Kipilimba: Wasifu wake

Dkt. Modestus Francis Kipilimba: Wasifu wake

Mtu aliyesoma computer ya miaka ya 70 aje kufanya mapinduzi kwenye technology ya miaka hii hapana"
Sema ataleta changamoto 2 ila swala la technology mpya wataajiri vijana ambao wanaufahamu mzr wa new technology system
Mkuu sio kusoma tu. Huyu mtu sio tu amesomea, pia amefundisha. Inamaana amefundisha computer ya miaka 70?
 
Asante kwa taarifa. Na je alipopolekwa NEC wakati uchaguzi ukikaribia 2015 ilikuwa kwa ajili ya nini na kutoka baada ya uchaguzi?

Wadau naomba kufahamishwa.
May be alienda kusaidia kuandika codes za kuincrement kura za kijani,u neva no..
 
nisome yote hayo kwa faida gani?
Nmecheka sana.Kusoma tu hio habari ndio unaona kazi?.Lakini ingekuwa story za udaku utamaliza hata page 200.Kama Mamdenyi unaona kazi kusoma hio habari basi uwe unawanunulia wanao vitabu wapende kusoma soma angali wadogo.
 
Karibu sana Idarani huku ukitambua ujasusi ni zaidi ya kuwa mtaalam wa TEHAMA
 
Naomba kuuliza: Hivi kuandika personal info za mtu bila written permission siyo kosa?

Kama maofisini kutoa numba ya simu ya mtu bila ruksa yake ni kosa hao waliokupa details zake zidhani kama wamefanya vyema haijalishi mna mahusiano nao kiasi gani, hapo kuna tatizo.

Tatizo kila mtu siku hizi eti anajua mambo ya usalama kisa kuna materials online, kama yamewekwa online inamanisha mambo yamebadilika kuna techniques nyingine. Haujui unawarahisishia kazi wanaotafuta info from "open source"?

Tujifunze kuchuja kabla ya kuandika, watanzania tupunguze kuongea ongea hata tunapotakiwa kukaa kimya. Kama unajua mambo ya usalama naamini unajua kwamba haichukui siku kulocate ulipo na kukupata.

"Learn to use the power of being silent".
Sijaona kosa la mwandishi hapo. And besides hiyo ni habari ameitoa kwenye gazeti. Wala sio mtu tu kaja kujiandikia hapa. Na pia kama ingekuwa haya mambo ni ya siri kwa kiasi hicho , sidhani kama uteuzi ungefanyika hadharani na kutangazwa kwa wananchi wote.

Kabla ya kuanza kulaumu , uwe na hoja.

Am out
 
Karne hii sio kabisa kutumia miguvu! Kuna vijana wako vizuri sana ila wameloawea ughaibuni sababu ya fitna! Akirejea Watamuua tu acha akae huku huko! Afundishe nchi zilizoendelea kuhusu inteligence! Hapa zibakie sihasa tu
 
Karne hii sio kabisa kutumia miguvu! Kuna vijana wako vizuri sana ila wameloawea ughaibuni sababu ya fitna! Akirejea Watamuua tu acha akae huku huko! Afundishe nchi zilizoendelea kuhusu inteligence! Hapa
zibakie sihasa tu

Nani huyo?
 
Back
Top Bottom