pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Ni mwenyeji wa Mkoa gani wakuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sio kusoma tu. Huyu mtu sio tu amesomea, pia amefundisha. Inamaana amefundisha computer ya miaka 70?Mtu aliyesoma computer ya miaka ya 70 aje kufanya mapinduzi kwenye technology ya miaka hii hapana"
Sema ataleta changamoto 2 ila swala la technology mpya wataajiri vijana ambao wanaufahamu mzr wa new technology system
May be alienda kusaidia kuandika codes za kuincrement kura za kijani,u neva no..Asante kwa taarifa. Na je alipopolekwa NEC wakati uchaguzi ukikaribia 2015 ilikuwa kwa ajili ya nini na kutoka baada ya uchaguzi?
Wadau naomba kufahamishwa.
hofu ya Mungu na visasi wapi nawapi alafu na Mungu hajaribiwi kama wao ambavyo hawapendi kujaribiwaTanzania ya sasa inahitaji wakuu wenye hofu ya Mungu.
Dr. Kipilimba anastahili hii nafasi.
napita tuTanzania ya sasa inahitaji wakuu wenye hofu ya Mungu.
Dr. Kipilimba anastahili hii nafasi.
Nmecheka sana.Kusoma tu hio habari ndio unaona kazi?.Lakini ingekuwa story za udaku utamaliza hata page 200.Kama Mamdenyi unaona kazi kusoma hio habari basi uwe unawanunulia wanao vitabu wapende kusoma soma angali wadogo.nisome yote hayo kwa faida gani?
Hivi huyu yupo? Sijamuona muda mrefu...!Faiza foxy kaa chonjo.
Mwandishi naye anajifanya mtu wa TISS.
Ndiyo sababu inasemwa ukitaka kuficha kitu Mtanzania asikione (ila si wote) basi kifiche kwenye kitabu.nisome yote hayo kwa faida gani?
Sijaona kosa la mwandishi hapo. And besides hiyo ni habari ameitoa kwenye gazeti. Wala sio mtu tu kaja kujiandikia hapa. Na pia kama ingekuwa haya mambo ni ya siri kwa kiasi hicho , sidhani kama uteuzi ungefanyika hadharani na kutangazwa kwa wananchi wote.Naomba kuuliza: Hivi kuandika personal info za mtu bila written permission siyo kosa?
Kama maofisini kutoa numba ya simu ya mtu bila ruksa yake ni kosa hao waliokupa details zake zidhani kama wamefanya vyema haijalishi mna mahusiano nao kiasi gani, hapo kuna tatizo.
Tatizo kila mtu siku hizi eti anajua mambo ya usalama kisa kuna materials online, kama yamewekwa online inamanisha mambo yamebadilika kuna techniques nyingine. Haujui unawarahisishia kazi wanaotafuta info from "open source"?
Tujifunze kuchuja kabla ya kuandika, watanzania tupunguze kuongea ongea hata tunapotakiwa kukaa kimya. Kama unajua mambo ya usalama naamini unajua kwamba haichukui siku kulocate ulipo na kukupata.
"Learn to use the power of being silent".
Shule za Kigonsera, Dakawa, Kibaha, Mkwawa, imetoa wengi kweli kwenye hiyo idara
Karne hii sio kabisa kutumia miguvu! Kuna vijana wako vizuri sana ila wameloawea ughaibuni sababu ya fitna! Akirejea Watamuua tu acha akae huku huko! Afundishe nchi zilizoendelea kuhusu inteligence! Hapa
zibakie sihasa tu
Yupo wao wanamjua....ila n wanted sijui aliwafanya nini!!Nani huyo?
Yupo wao wanamjua....ila n wanted sijui aliwafanya nini!![/QUOTE
Mmh haya basi sawa
Yupo wao wanamjua....ila n wanted sijui aliwafanya nini!!