Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
ingekuwa rahisi hivyo mngepeleka CV zenu makazini ili iweje ?Ukishajua yatakusaidia nini ??? Acheni kufuatilia maisha ya watu kwa kiasi hiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ingekuwa rahisi hivyo mngepeleka CV zenu makazini ili iweje ?Ukishajua yatakusaidia nini ??? Acheni kufuatilia maisha ya watu kwa kiasi hiki.
Ni Usalama wa Taifa. Haya tuambie unataka nini sasa?Kwa ufupi mtu huyu alikuwa Ofisa wa Juu wa Usalama wa Taifa , DG wa TISS , kabla ya hapo alitokea kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi , Kwa sasa ni Balozi , kimsingi balozi ni mtumishi wa Umma kama mabalozi wengine akina Dr Slaa , Polepole na Mwanaidi Majaar .
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania si kosa kutaka kumfahamu mtumishi yeyote wa Umma , kwa lengo la kutaka kujua uaminifu wake na kutaka kujua kote alikopita na hata shule alizosoma , elimu yake , uhusiano wake na jamii na mengine lukuki .
Alianza lini kazi usalama wa Taifa , aliletwa na nani , kwanini aliletwa Tume ya Uchaguzi dakika za mwisho kabla ya uchaguzi mkuu 2015 , alisaidia nini hadi kutunukiwa U DG wa TISS ?
Naomba kuwasilisha .
Wewe tupe CV yako tujue, usijekuwa gaidi. Eleza elimu yako na shule ulizosoma ili tujue uaminifu wako kwa taifa.ingekuwa rahisi hivyo mngepeleka CV zenu makazini ili iweje ?
Huyo ni public figure lazime afatiliwe, akitaka asifuatiliwe aende kulima bamia uone kama kuna mtu atakua na habari naeUkishajua yatakusaidia nini ??? Acheni kufuatilia maisha ya watu kwa kiasi hiki.
😁😁😁😁😁😁Waumini wake wanasema ni mtumishi mzuri sana wa mungu ila mimi nasema kwenye tunapigwa na kitu kizito tunaotubu mbele za mwana-adamu. Imagine ndio unatubu kwa mchungaji kuwa niliiba gari la serikali halafu mtumishi ndio DG halafu bado unaamini mtumishi atatunza siri
Mlelewa Ubelgiji anatafuta kila mbinu ili aendelee kupewa hela na Amsterdam
Sirro ameshasema habari kama hizi ndio zinawavutia watu stori za maendeleo ya uvuvi hawatakiUkishajua yatakusaidia nini ??? Acheni kufuatilia maisha ya watu kwa kiasi hiki.
Kwa ufupi mtu huyu alikuwa Ofisa wa Juu wa Usalama wa Taifa , DG wa TISS , kabla ya hapo alitokea kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi , Kwa sasa ni Balozi , kimsingi balozi ni mtumishi wa Umma kama mabalozi wengine akina Dr Slaa , Polepole na Mwanaidi Majaar .
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania si kosa kutaka kumfahamu mtumishi yeyote wa Umma , kwa lengo la kutaka kujua uaminifu wake na kutaka kujua kote alikopita na hata shule alizosoma , elimu yake , uhusiano wake na jamii na mengine lukuki .
Alianza lini kazi usalama wa Taifa , aliletwa na nani , kwanini aliletwa Tume ya Uchaguzi dakika za mwisho kabla ya uchaguzi mkuu 2015 , alisaidia nini hadi kutunukiwa U DG wa TISS ?
Naomba kuwasilisha .
Habari za bei ya mbolea kupanda hazivutii. Acha ikae hivyoUkishajua yatakusaidia nini ??? Acheni kufuatilia maisha ya watu kwa kiasi hiki.
Mtaendelea kukanyagana hadi mkomeUnachanganya mambo, Amsterdam hampi hela Tundu Lisu bali, Tundu Lisu na Genge lake ndiyo waliomlipa Amsterdam, sasa swali ni kwamba walitoa wapi fedha za kumlipa ?
Ukishajua yatakusaidia nini ??? Acheni kufuatilia maisha ya watu kwa kiasi hiki.
Yupo pia Mh. Ramadhan Ighondu, MP. Anakumbukwa pia kwa sakata la kutekwa na kuumizwa kwa Dkt. Ulimboka kipindi cha uongozi wa nchi wa awamu ya nne.Kwa ufupi mtu huyu alikuwa Ofisa wa Juu wa Usalama wa Taifa , DG wa TISS , kabla ya hapo alitokea kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi , Kwa sasa ni Balozi , kimsingi balozi ni mtumishi wa Umma kama mabalozi wengine akina Dr Slaa , Polepole na Mwanaidi Majaar .
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania si kosa kutaka kumfahamu mtumishi yeyote wa Umma , kwa lengo la kutaka kujua uaminifu wake na kutaka kujua kote alikopita na hata shule alizosoma , elimu yake , uhusiano wake na jamii na mengine lukuki .
Alianza lini kazi usalama wa Taifa , aliletwa na nani , kwanini aliletwa Tume ya Uchaguzi dakika za mwisho kabla ya uchaguzi mkuu 2015 , alisaidia nini hadi kutunukiwa U DG wa TISS ?
Naomba kuwasilisha .