Dkt. Modestus Francis Kipilimba: Wasifu wake

Dkt. Modestus Francis Kipilimba: Wasifu wake

Kwa ufupi mtu huyu alikuwa Ofisa wa Juu wa Usalama wa Taifa , DG wa TISS , kabla ya hapo alitokea kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi , Kwa sasa ni Balozi , kimsingi balozi ni mtumishi wa Umma kama mabalozi wengine akina Dr Slaa , Polepole na Mwanaidi Majaar .

Kwa mujibu wa sheria za Tanzania si kosa kutaka kumfahamu mtumishi yeyote wa Umma , kwa lengo la kutaka kujua uaminifu wake na kutaka kujua kote alikopita na hata shule alizosoma , elimu yake , uhusiano wake na jamii na mengine lukuki .

Alianza lini kazi usalama wa Taifa , aliletwa na nani , kwanini aliletwa Tume ya Uchaguzi dakika za mwisho kabla ya uchaguzi mkuu 2015 , alisaidia nini hadi kutunukiwa U DG wa TISS ?

Naomba kuwasilisha .
Ni Usalama wa Taifa. Haya tuambie unataka nini sasa?
 
Waumini wake wanasema ni mtumishi mzuri sana wa mungu ila mimi nasema kwenye tunapigwa na kitu kizito tunaotubu mbele za mwana-adamu.

Imagine ndio unatubu kwa mchungaji kuwa niliiba gari la serikali halafu mtumishi ndio DG halafu bado unaamini mtumishi atatunza siri
 
Waumini wake wanasema ni mtumishi mzuri sana wa mungu ila mimi nasema kwenye tunapigwa na kitu kizito tunaotubu mbele za mwana-adamu. Imagine ndio unatubu kwa mchungaji kuwa niliiba gari la serikali halafu mtumishi ndio DG halafu bado unaamini mtumishi atatunza siri
😁😁😁😁😁😁
 
Mlelewa Ubelgiji anatafuta kila mbinu ili aendelee kupewa hela na Amsterdam

Unachanganya mambo, Amsterdam hampi hela Tundu Lisu bali, Tundu Lisu na Genge lake ndiyo waliomlipa Amsterdam, sasa swali ni kwamba walitoa wapi fedha za kumlipa ?
 
Kwa ufupi mtu huyu alikuwa Ofisa wa Juu wa Usalama wa Taifa , DG wa TISS , kabla ya hapo alitokea kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi , Kwa sasa ni Balozi , kimsingi balozi ni mtumishi wa Umma kama mabalozi wengine akina Dr Slaa , Polepole na Mwanaidi Majaar .

Kwa mujibu wa sheria za Tanzania si kosa kutaka kumfahamu mtumishi yeyote wa Umma , kwa lengo la kutaka kujua uaminifu wake na kutaka kujua kote alikopita na hata shule alizosoma , elimu yake , uhusiano wake na jamii na mengine lukuki .

Alianza lini kazi usalama wa Taifa , aliletwa na nani , kwanini aliletwa Tume ya Uchaguzi dakika za mwisho kabla ya uchaguzi mkuu 2015 , alisaidia nini hadi kutunukiwa U DG wa TISS ?

Naomba kuwasilisha .



 
Unachanganya mambo, Amsterdam hampi hela Tundu Lisu bali, Tundu Lisu na Genge lake ndiyo waliomlipa Amsterdam, sasa swali ni kwamba walitoa wapi fedha za kumlipa ?
Mtaendelea kukanyagana hadi mkome
 
Ni ndugu wa karibu katika ukoo wetu uliotawanyika me nafahamu tuu ilo. Wengine mtaongezea
 
Huyo Jambazi,Muuaji!
Moto wa Milele unamsubiri.
Mungu hadhihakiwi!
 
Kwa ufupi mtu huyu alikuwa Ofisa wa Juu wa Usalama wa Taifa , DG wa TISS , kabla ya hapo alitokea kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi , Kwa sasa ni Balozi , kimsingi balozi ni mtumishi wa Umma kama mabalozi wengine akina Dr Slaa , Polepole na Mwanaidi Majaar .

Kwa mujibu wa sheria za Tanzania si kosa kutaka kumfahamu mtumishi yeyote wa Umma , kwa lengo la kutaka kujua uaminifu wake na kutaka kujua kote alikopita na hata shule alizosoma , elimu yake , uhusiano wake na jamii na mengine lukuki .

Alianza lini kazi usalama wa Taifa , aliletwa na nani , kwanini aliletwa Tume ya Uchaguzi dakika za mwisho kabla ya uchaguzi mkuu 2015 , alisaidia nini hadi kutunukiwa U DG wa TISS ?

Naomba kuwasilisha .
Yupo pia Mh. Ramadhan Ighondu, MP. Anakumbukwa pia kwa sakata la kutekwa na kuumizwa kwa Dkt. Ulimboka kipindi cha uongozi wa nchi wa awamu ya nne.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom