Dkt. Modestus Francis Kipilimba: Wasifu wake

Dkt. Modestus Francis Kipilimba: Wasifu wake

Kwa ufupi mtu huyu alikuwa Ofisa wa Juu wa Usalama wa Taifa , DG wa TISS , kabla ya hapo alitokea kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi , Kwa sasa ni Balozi , kimsingi balozi ni mtumishi wa Umma kama mabalozi wengine akina Dr Slaa , Polepole na Mwanaidi Majaar .

Kwa mujibu wa sheria za Tanzania si kosa kutaka kumfahamu mtumishi yeyote wa Umma , kwa lengo la kutaka kujua uaminifu wake na kutaka kujua kote alikopita na hata shule alizosoma , elimu yake , uhusiano wake na jamii na mengine lukuki .

Alianza lini kazi usalama wa Taifa , aliletwa na nani , kwanini aliletwa Tume ya Uchaguzi dakika za mwisho kabla ya uchaguzi mkuu 2015 , alisaidia nini hadi kutunukiwa U DG wa TISS ?

Naomba kuwasilisha .
Mkuu, unapotosha. Kipilimba hajawahi kuwa Tume ya Uchaguzi..... Bali NIDA.
 
Mbona ana thread yake humu zamani kidogo akitoka bot kwenda tume ya uchaguzi...

Hv nyie wadogo zetu mnajua kuitumia JF kweli!

Hawa watu...wamepita na sisi kwenye vipindi vigumu mno leo nyie mnataka kutafniwa...


Msinyonye nguvu..na akili za miaka mingi..ndo maana siku hz tunasoma tu...tunawaacha wenyewe....pls do your hmwrk...
 
Kwa ufupi mtu huyu alikuwa Ofisa wa Juu wa Usalama wa Taifa , DG wa TISS , kabla ya hapo alitokea kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi , Kwa sasa ni Balozi , kimsingi balozi ni mtumishi wa Umma kama mabalozi wengine akina Dr Slaa , Polepole na Mwanaidi Majaar .

Kwa mujibu wa sheria za Tanzania si kosa kutaka kumfahamu mtumishi yeyote wa Umma , kwa lengo la kutaka kujua uaminifu wake na kutaka kujua kote alikopita na hata shule alizosoma , elimu yake , uhusiano wake na jamii na mengine lukuki .

Alianza lini kazi usalama wa Taifa , aliletwa na nani , kwanini aliletwa Tume ya Uchaguzi dakika za mwisho kabla ya uchaguzi mkuu 2015 , alisaidia nini hadi kutunukiwa U DG wa TISS ?

Naomba kuwasilisha .
Ni mchungaji wa kanisa la TAG (City harvest church)
Lililopo bahari beach (Ununio)

Akiwa na mchungaji mwenza Yared Dondo.

Kule kanisani ni mtu smart Sana na mchaji Mungu na hata alivyopata promotion ya kuwa DIG washirika wake walishangazwa sanaaa hana tofauti na CID wa Kilindi (kachero aliyejificha KWA mwamvuli wa utumishi)

Mengineyo wajuvi watamalizia
 
Kwa ufupi mtu huyu alikuwa Ofisa wa Juu wa Usalama wa Taifa , DG wa TISS , kabla ya hapo alitokea kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi , Kwa sasa ni Balozi , kimsingi balozi ni mtumishi wa Umma kama mabalozi wengine akina Dr Slaa , Polepole na Mwanaidi Majaar .

Kwa mujibu wa sheria za Tanzania si kosa kutaka kumfahamu mtumishi yeyote wa Umma , kwa lengo la kutaka kujua uaminifu wake na kutaka kujua kote alikopita na hata shule alizosoma , elimu yake , uhusiano wake na jamii na mengine lukuki .

Alianza lini kazi usalama wa Taifa , aliletwa na nani , kwanini aliletwa Tume ya Uchaguzi dakika za mwisho kabla ya uchaguzi mkuu 2015 , alisaidia nini hadi kutunukiwa U DG wa TISS ?

Naomba kuwasilisha .
Correct me if I'm wrong. Mtu aliyetoka TISS na kuja Tume ya Taifa ya Uchaguzi siyo Ramadhani Kahilima? Nakumbuka ndo alikuja kuwa mkurugenzi wa uchaguzi.
 
Mimi ninachojua aliajiriwa kama informer wa tiss wakati bwawa la mindu pale morogoro linajengwa enzi za Nyerere.

Inasemekana waliopewa tenda ya kuchimba lile bwawa walichimba dhahabu nyingi sana.

Mwalimu Nyerere aliwafukuza wale wa brazil ndani ya masaa the 24 aliyepeleka faili na taarifa yote kwa mwalimu ndio huyo modestus k.
 
Kwa ufupi mtu huyu alikuwa Ofisa wa Juu wa Usalama wa Taifa , DG wa TISS , kabla ya hapo alitokea kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi , Kwa sasa ni Balozi , kimsingi balozi ni mtumishi wa Umma kama mabalozi wengine akina Dr Slaa , Polepole na Mwanaidi Majaar .

Kwa mujibu wa sheria za Tanzania si kosa kutaka kumfahamu mtumishi yeyote wa Umma , kwa lengo la kutaka kujua uaminifu wake na kutaka kujua kote alikopita na hata shule alizosoma , elimu yake , uhusiano wake na jamii na mengine lukuki .

Alianza lini kazi usalama wa Taifa , aliletwa na nani , kwanini aliletwa Tume ya Uchaguzi dakika za mwisho kabla ya uchaguzi mkuu 2015 , alisaidia nini hadi kutunukiwa U DG wa TISS ?

Naomba kuwasilisha .

Huyu ndiyo kamuharibia Magufuli historia yake. Kiongozi wa utekaji

1648055603348.png





Dar es Salaam. Several months after he was removed from the position of Director General of Tanzania Intelligence and Security Services (TISS), Modestus Kipilimba was finally sworn in as Tanzania’s ambassador to Namibia at State House, Dar es Salaam today.

He was sworn in by President Magufuli to represent Tanzania at the new embassy in Windhoek, Namibia alongside other ambassadors who were appointed around the same time.

Those who took oaths today include Dr Benson Bana who becomes Tanzania’s ambassador to Nigeria, Rtd Major General Gaudence Milanzi who becomes Tanzania’s ambassador to South Africa.

Prof. Emmanuel David Mwaluko Mbena on the other hand has been appointed as the new ambassador to Zimbabwe.

Present at the swearing in was the minister of foreign Affairs and East African cooperation Prof Palamagamba Kabudi who reminded the new envoys the tasks at hand in representing Tanzania.

He reiterated to the new ambassador to South Africa Rtd Major General Gaudence Milanzi that he should immediately embark on making sure Tanzania is in the fore front championing the teaching Kiswahili in South Africa.

Tanzanian envoy denies President Magufuli in bad health​

By Reuters Staff
3 MIN READ

  • Magufuli out of public view since end of February
  • Opposition leader says he is in a coma with COVID-19
  • Tanzania’s envoy to Namibia says Magufuli working normally
NAIROBI/WINDHOEK, March 12 (Reuters) - Tanzania’s President John Magufuli is in good health and working normally, one of his diplomats has told a broadcaster in Namibia, countering reports he had been flown to hospital in Kenya and then India in a critical condition with COVID-19.
Magufuli, 61, who is Africa’s most prominent coronavirus sceptic, has not been seen in public since Feb. 27.

Tanzanian opposition leader Tundu Lissu has cited medical and security sources for information that the president was flown to the private Nairobi Hospital in neighbouring Kenya and then on to India in a coma.
But the Namibian Broadcasting Corporation quoted Tanzania’s ambassador in Windhoek, Modestus Kipilimba, as saying Magufuli was in good health and remained in Tanzania.
“High Commissioner Kipilimba dismissed the reports, saying Magufuli is in Tanzania going about his normal duties,” NBC said, in what would be the first public comments from a Tanzanian official about Magufuli’s situation since questions were raised.
Kenya’s Nation newspaper cited unidentified political and diplomatic sources earlier this week saying that an African leader, which it did not name, was being treated for COVID-19 on a ventilator at the private Nairobi Hospital.
The hospital has said nothing.

In power since 2015 and nicknamed “The Bulldozer”, Magufuli has played down the threat from COVID-19, saying God and remedies such as steam inhalation would protect Tanzanians.
He has mocked coronavirus tests, denounced vaccines as part of a Western conspiracy to take Africa’s wealth, and opposed mask-wearing and social distancing.
Tanzania stopped reporting coronavirus data in May last year when it said it had 509 cases and 21 deaths, according to the World Health Organization (WHO), which has urged Magufuli’s government to be more transparent and to implement COVID-19 curbs.
Magufuli, a former chemistry professor from the village of Chato in northwest Tanzania, was first elected president in 2015. He has faced accusations from Western countries and opposition parties of eroding democracy, which he denies. (Reporting by Duncan Miriri in Nairobi, Nyasha Nyaungwa in Windhoek; Writing by Andrew Cawthorne; Editing by Alex Richardson)
 
Kwa ufupi mtu huyu alikuwa Ofisa wa Juu wa Usalama wa Taifa , DG wa TISS , kabla ya hapo alitokea kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi , Kwa sasa ni Balozi , kimsingi balozi ni mtumishi wa Umma kama mabalozi wengine akina Dr Slaa , Polepole na Mwanaidi Majaar .

Kwa mujibu wa sheria za Tanzania si kosa kutaka kumfahamu mtumishi yeyote wa Umma , kwa lengo la kutaka kujua uaminifu wake na kutaka kujua kote alikopita na hata shule alizosoma , elimu yake , uhusiano wake na jamii na mengine lukuki .

Alianza lini kazi usalama wa Taifa , aliletwa na nani , kwanini aliletwa Tume ya Uchaguzi dakika za mwisho kabla ya uchaguzi mkuu 2015 , alisaidia nini hadi kutunukiwa U DG wa TISS ?

Naomba kuwasilisha .

Balozi Modestus Kipilimba ni Sabaya mwingine.​

 
Waumini wake wanasema ni mtumishi mzuri sana wa mungu ila mimi nasema kwenye tunapigwa na kitu kizito tunaotubu mbele za mwana-adamu.

Imagine ndio unatubu kwa mchungaji kuwa niliiba gari la serikali halafu mtumishi ndio DG halafu bado unaamini mtumishi atatunza siri
Angekuwa mtumishi mzuri angeng'atuka asimshike shetani mkono
 
Ukishajua yatakusaidia nini ??? Acheni kufuatilia maisha ya watu kwa kiasi hiki.
Kwa taarifa yako yeye ndiye aliyekabidhiwa na Magufuli. jukumu la kumuua Tundu Lisu.

Ushahidi upo na wewe unaweza kuwa unalijua hilo. Sasa ndiyo trailer ineisha movies imeanza. Jiridhishe na link hiyo chini.

 
Kwa ufupi mtu huyu alikuwa Ofisa wa Juu wa Usalama wa Taifa , DG wa TISS , kabla ya hapo alitokea kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi , Kwa sasa ni Balozi , kimsingi balozi ni mtumishi wa Umma kama mabalozi wengine akina Dr Slaa , Polepole na Mwanaidi Majaar .

Kwa mujibu wa sheria za Tanzania si kosa kutaka kumfahamu mtumishi yeyote wa Umma , kwa lengo la kutaka kujua uaminifu wake na kutaka kujua kote alikopita na hata shule alizosoma , elimu yake , uhusiano wake na jamii na mengine lukuki .

Alianza lini kazi usalama wa Taifa , aliletwa na nani , kwanini aliletwa Tume ya Uchaguzi dakika za mwisho kabla ya uchaguzi mkuu 2015 , alisaidia nini hadi kutunukiwa U DG wa TISS ?

Naomba kuwasilisha .
Mi' ninamfahamu kwa jambo moja kuu...... Nasema kwa sauti ya chini kabisa... ALIONGOZA GENGE LILILOMFYATULIA LISSU MARISASI!
 
Back
Top Bottom