#COVID19 Dkt. Mollel: Askofu Gwajima ataitwa athibitishe kauli zake, akishindwa tutamshughulikia

Hakuna definite structure ya kiutawala! Taasisi ya uraisi imelala flani hivi
 
ukileta mambo ya Dini ndio kabisa nakutoa kwenye mstari kama Gwajima, hapo mnaposhabikia wafuasi wa Roho mara Yesu hamfiki hata 20% ya watu bilioni 7.5
ila mnashabikia 666 wakati Magu na Rwegasira wameondoka, katika hiyo 20% ya watu waiopo duniani kuna madhehebu km sabato , Methodist na Maprotester hawaamini chanjo au kuongezewa damu
sasa J&J ya kimarekani, uje Astra zeneca, uje chanjo za Wuhan, wanawezaje kuwekeana code number zikafuatana?
kazi kwelikweli mm nimechanja na wamenipa Kadi kesho wanaibadili nitapewa ya electonic ili nitambulike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…