Huyo ni kati ya wabunge walio zawadiwa hicho cheo kama mshahara wa kuunga mkono juhudiIlifikaje Kenya na Uganda ikashindwa kufika kwetu. Yeye kama mtaalamu wa afya aliishauri nini serikali kupambana na covid wakati nchi zote duniani zinachanja na kufata taratibu za kitaalam kupambana na covid.
Ukisikiliza mahojiano ya mollel aliyofanya na vyombo vya habari alikua ni ant- chanjo na alikua anaogopa kutamka neno corona hadharani alikua anaita matatizo ya kupumua.
Hakuna aliyekulazimisha kuchanja wewe subiri ukatike tukakutupe kwenye 6Γ6So what kwa kuwa wamechanja tena kwa vitisho ni salama?Zingekuwa ni salama watu wangeandamana kuzipinga na vyama vya madaktari na wanasheria dunia nzima vinge cry fawl.Mkuu unajua sasa kwamba chanjo hizo nchi nyingi zinaunganishwa na upatikanaji wa huduma na hata kazi?Mkuu hivi akili ya kawaida tu haikuambii kwamba huna haja ya kulazimisha watu kitu kizuri?Jiongeze mkuu.
Cc tupo tz wao ndio wameziona zinafaa inabidi tuwaulize wao.au wao sio wataalam?au niwazee wa mitishambaHilo swali la ubora au usalama wa hizo chanjo waulizwe WHO
Na nyie mtuthibitishie kuwa izo chanjo ni salama.... Na zimefanyiwa reseach yakutosha na nyie wenyewe wizara ya afya au mnataka kutubeba ufalaNaibu Waziri wa Afya Dkt. Mollel amesema kuwa mchungaji Gwajima sasa kapitiliza kwa kuwapotosha Watanzania.
Kwa ufupi pitia kwenye bandiko lake hapa chini ili kujionea alicho ongea.
Na wanasiasa na biashara je?Hapa ndipo lilipo tatizo. Hili sasa ndiyo tatizo la kuchanganya dini na siasa kwa maana yake haswa, siyo kama serikali ilivyokuwa inasingizia wakati viongozi wa dini walipokuwa wanaikosoa. Dawa ya hili ni ndogo sana. Viongozi wa dini walio-active kwenye dini zao i..e ambao ni viongozi kwenye madhehebu yao wasiruhusiwe kugombea nyadhifa za kisiasa au kama watagombea basi wajiuzulu uongozi wa dini. Hili kama lingekuwa sheria Gwajima alitakiwa ajiuzu ''uchungaji'' wake na awe muumini wa kawaida.
Mbona ARV unazibugiaNa nyie mtuthibitishie kuwa izo chanjo ni salama.... Na zimefanyiwa reseach yakutosha na nyie wenyewe wizara ya afya au mnataka kutubeba ufala
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni swala la muda tu ndio maana tuna fight,ingekuwa hiari kweli nani ange jali?Hakuna aliyekulazimisha kuchanja wewe subiri ukatike tukakutupe kwenye 6Γ6
Stupid argumentKwani anaibeba mabegani?
Bango limeshikwa,mbona wanasema askari nk.watachanjwa?Hakuna anaye kushikia bango mkuu maana uhai ni wako
π π πAngalia hiki kisura, utafikiri sio chenyewe kilichokuwa kinapinga chanjo miezi 4 iliyopita View attachment 1894704
Acha ujinga wewe, huyu ni mtu aliyeko ughaibuni na anakiri kwamba watu wanakufa kwa chanjo,who are to deny it,ninyi mmelogwa?Ni hiari ya mtu
mollel njaa2 inamsumbua ni mnafiki na msalitiNaibu Waziri wa Afya Dkt. Mollel amesema kuwa mchungaji Gwajima sasa kapitiliza kwa kuwapotosha Watanzania.
Kwa ufupi pitia kwenye bandiko lake hapa chini ili kujionea alicho ongea.