Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Basi jamani utata umeisha,bwana mollel unaambiwa anao ushahid wooooteeeeee, ila atautoa tu pale chadema itakapoeleza matumizi ya ruzuku
Kwa hiyo tusubiri jeshi la polisi waongee na msajili wa vyama na CAG kuhusu ruzuku ili kumlainisha bwana mollel atoe ushahidi wake huo
**Halii hii inaonyesha wazi kwamba ukihama cdm kwenda ccm akili zako zinaongezeka sana, Dr Mollel katisha vibaya mno.


View attachment 1017124
njaaa huzaa uoga,mwishoo unafiki.
 
agh wapi, thubutuuuuuuu, hii issue wakija scotland yard hapa siku mbili tu hadi kolomije kunawaka motoooo, achana na comedy za kina mollel na waitara wanajua ccm wanataka kusikika kitu gani,wanawachezea drama tu, mwaka jana septermber waitara alillaani vikali juzi kasema chadema inahusika....dram za kipuuzi nchi hiii sana.
Namwomba afande Siro amwite Mollel akasaidie upelelezi. Haiwezekani mpaka leo kitendawili cha nani alitaka kumwua Lissu hakijateguliwa wakati key witness kajitokeza mwenyewe kwa hiari yake bila kualzimishwa na mtu.

Imani yangu kesho asubuhi Mollel atakuwa ameripoti polisi!
 
Basi jamani utata umeisha,bwana mollel unaambiwa anao ushahid wooooteeeeee, ila atautoa tu pale chadema itakapoeleza matumizi ya ruzuku
Kwa hiyo tusubiri jeshi la polisi waongee na msajili wa vyama na CAG kuhusu ruzuku ili kumlainisha bwana mollel atoe ushahidi wake huo
**Halii hii inaonyesha wazi kwamba ukihama cdm kwenda ccm akili zako zinaongezeka sana, Dr Mollel katisha vibaya mno.


View attachment 1017124
Wachagga Wezi aisee mtu anaiba hadi sampuli za mgonjwa!
 
Basi jamani utata umeisha,bwana mollel unaambiwa anao ushahid wooooteeeeee, ila atautoa tu pale chadema itakapoeleza matumizi ya ruzuku
Kwa hiyo tusubiri jeshi la polisi waongee na msajili wa vyama na CAG kuhusu ruzuku ili kumlainisha bwana mollel atoe ushahidi wake huo
**Halii hii inaonyesha wazi kwamba ukihama cdm kwenda ccm akili zako zinaongezeka sana, Dr Mollel katisha vibaya mno.


View attachment 1017124
Majitu yenye upara maongo sana
 
muulize Nassari na Msigwa nilidhani wewe ni mwanabavicha kumbe hata hujui kuhusu saa za kurekodi
Wewe ndo uliesema kuhusu jambo hilo kwa nini nimuulize Nassari na Msigwa? Una matatizo gani? Au ndo unasadifu jinsi jina unalolitumia?
 
Mavi
Basi jamani utata umeisha,bwana mollel unaambiwa anao ushahid wooooteeeeee, ila atautoa tu pale chadema itakapoeleza matumizi ya ruzuku
Kwa hiyo tusubiri jeshi la polisi waongee na msajili wa vyama na CAG kuhusu ruzuku ili kumlainisha bwana mollel atoe ushahidi wake huo
**Halii hii inaonyesha wazi kwamba ukihama cdm kwenda ccm akili zako zinaongezeka sana, Dr Mollel katisha vibaya mno.


View attachment 1017124

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante sana ndugu Mollel naamini polisi wamepata pa kuanzia....

Huna haja ya kuwathibitishia madai yako hao CHADEMA (ingawaje umechemka vibaya sana hapo unapoleta hoja ya matumizi ya ruzuku). Beba mafaili yako mpelekee Kamanda IGP

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushahidi kama unao umekaa nao miaka karibu 2 wa kazi gani kama sio unafiki na uzandiki! Kuna maswali ambayo chizi akijiuliza anapata majibu hasi, porojo nyiiingi ambazo hazina mwelekeo wowote, siku zote amekua wapi hadi Leo ndio aseme anaushahidi na ukitaka kujua ni wa kubumba mpaka Leo mbona hajaupeleka polisi ili kutenegeneza utulivu na amani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom