King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hivi Huyo BOYA ni Dokta MD/Phd Kweli? Mie Naona anatumia Title kama wenzake kina Dr Manyaunyau au Dr Rick.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu atamlaani
Ruzuku ???? Ushahid wa Lissu MBNA matopeBasi jamani utata umeisha,bwana mollel unaambiwa anao ushahid wooooteeeeee, ila atautoa tu pale chadema itakapoeleza matumizi ya ruzuku
Kwa hiyo tusubiri jeshi la polisi waongee na msajili wa vyama na CAG kuhusu ruzuku ili kumlainisha bwana mollel atoe ushahidi wake huo
**Halii hii inaonyesha wazi kwamba ukihama cdm kwenda ccm akili zako zinaongezeka sana, Dr Mollel katisha vibaya mno.
View attachment 1017124
kweli kabisa sasa inakuwaje tena ushahidi kauwekea masharti? si ndo nafasi ya kuaiabisha chadema? kambembelezeni basi? HALAFU JAMAA ATAKUWA JEMBE SANA HUYU ANAFAA U WAZIRI HUYU
Wachagga Wezi aisee mtu anaiba hadi sampuli za mgonjwa!
Kuna ushahidi wa mbinguni na duniani bado hajautoa hadi leo.... Na jimbo limo hatarini kupewa mwingineAbarikiwe mheshimiwa mollel kwa kuwaumbua hawa Chadema
Kwahiyo Chadema wako nje ya mipaka ya nchi hii kiasi kwamba hata wakifanya uhalifu serikali ya Tanzania haiwajibiki kwao?Nafikiri sasa polisi waanze na huyu mbunge inaonekana anazo siri za hilo shambulio
Mbunge CCM adai shambulio la Lissu ni mpango wa Chadema
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani nani asie jue ni mpango wa cdm na ndio maana walikua washaandaa na hosp kabisa na usafiri na kila kituNafikiri sasa polisi waanze na huyu mbunge inaonekana anazo siri za hilo shambulio
Mbunge CCM adai shambulio la Lissu ni mpango wa Chadema
Sent using Jamii Forums mobile app