7spirits
JF-Expert Member
- Dec 1, 2015
- 612
- 514
Ukiwa CCM automatically unakuwa MPUMBAVU...!! CHADEMA waliposhindwa kumuua Lissu wakaingia kwa Naibu Spika kung'oa sisitivii kamera?Basi jamani utata umeisha,bwana mollel unaambiwa anao ushahid wooooteeeeee, ila atautoa tu pale chadema itakapoeleza matumizi ya ruzuku
Kwa hiyo tusubiri jeshi la polisi waongee na msajili wa vyama na CAG kuhusu ruzuku ili kumlainisha bwana mollel atoe ushahidi wake huo
**Halii hii inaonyesha wazi kwamba ukihama cdm kwenda ccm akili zako zinaongezeka sana, Dr Mollel katisha vibaya mno.
View attachment 1017124
Wakaenda na kwa Kalemani kuondoa sisitivii kamera?
Mengine tutapata majibu yake mbinguni, ila CCM na genge lenu la wahuni hamtaepuka lawama za kumwagwa kwa damu ya jamaa maana mmeonesha dhahiri nia yenu OVU ya kutaka kuendelea kumtenda Lissu vitendo VIOVU ili kupoteza uhai wake.
Mara asipewe pesa ya matibabu, mara afutiwe ubunge, mara azuiliwe mshahara wake, hivi na hao wapelelezi hawawezi kuunganisha nukta kumtambua mhusika wa suala hili???
Niligoma kuunga mkono CCM japo nilikua najifunika na kupandisha bendera ya CCM nikiwa mdogo, I SAW WICKEDNESS IN MY OWN FAMILY WITH YOU CCM. SHAME!!!