mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Mimi Naona bora wangekaa kimya.
Wanavyotumia nguvu kubwa ndivyo wanavyozidi kuwapa watu wasiwasi.
Jana alikuwa channel ten anaongea yaani nadhani hadi koo lilimkauka, hadi niliokaa nao pembeni wakaanza kupata wasiwasi kwamba mbona anatumia nguvu kubwa mno kuaminisha watu na wakati walishasema chanjo ni hiari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ni pale wataalamu wanapoamua kuongea kama wasio na utaalam