Mimi Naona bora wangekaa kimya.
Wanavyotumia nguvu kubwa ndivyo wanavyozidi kuwapa watu wasiwasi.
Jana alikuwa channel ten anaongea yaani nadhani hadi koo lilimkauka, hadi niliokaa nao pembeni wakaanza kupata wasiwasi kwamba mbona anatumia nguvu kubwa mno kuaminisha watu na wakati walishasema chanjo ni hiari.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3]Hapa ni pale wataalamu wanapoamua kuongea kama wasio na utaalam
Hahahaaaa...... Wizara ya afya![emoji3][emoji3][emoji3]
Kabisa yaani,
Huyu jamaa ni daktari ila jana hata sababu zake alizokuwa anatoa zilikuwa hazina mashiko kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naibu Waziri wa afya Dkt. Mollel amesema chanjo ya Corona ni salama ndio maana Rais Samia mara tu baada ya kuchanjwa aliweza kuendelea na shughuli zake kama kawaida.
Mollel amesema Rais Samia alitoka Ikulu baada ya kuchanjwa na kwenda Lugalo Hospital ambako alifanya ukaguzi na kufungua mradi wa afya kisha akahutubia.
Chanzo: Channel ten
Wakikaa kimya watawaacha wananchi wapate utulivu wa kuchambua na kufanya maamuzi kuhusu chanjo.
Hizi sarakasi zao zinazidi kuvuruga watu, hasa zikitolewa na watu tuliowaamini na kuwapa dhamana ya madaraka makubwa.
Ni lini mliwahi kumtegemea Mungu? Hakuna mtu mchafu anaweza kumtegemea Mungu.Maadamu mwataka kuonesha walio mtegemea Mungu wa Mbinguni walikuwa wajinga, mkae mkijua Mungu wa Mbinguni atakuonesheni yeye ni nani.
Walisema Gwajima hajui Biology Wala Chemistry ataongeaje mambo ya chanjo..halafu muda huo huo wanatumia reference ya Rais kuchanja kwamba chanjo zipo Salama,hawezi kutuingiza shimoni.Hahahaaaa...... Wizara ya afya!
Ni lini mliwahi kumtegemea Mungu? Hakuna mtu mchafu anaweza kumtegemea Mungu.
Walisema Gwajima hajui Biology Wala Chemistry ataongeaje mambo ya chanjo..halafu muda huo huo wanatumia reference ya Rais kuchanja kwamba chanjo zipo Salama,hawezi kutuingiza shimoni.
Yawezekana ni kweli zipo Salama,lakini kwani yeye Rais amesomea mambo ya Biology na Kemia??
Yaani hawa jamaa wanazidi kuwavuruga watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa wakati wa enzi za mwendazake alikuwa na msimamo gani kuhusu Corona?Naibu Waziri wa afya Dkt. Mollel amesema chanjo ya Corona ni salama ndio maana Rais Samia mara tu baada ya kuchanjwa aliweza kuendelea na shughuli zake kama kawaida.
Mollel amesema Rais Samia alitoka Ikulu baada ya kuchanjwa na kwenda Lugalo Hospital ambako alifanya ukaguzi na kufungua mradi wa afya kisha akahutubia.
Chanzo: Channel Ten
Kirusi kimebadilika bwashee!Huyu jamaa wakati wa enzi za mwendazake alikuwa na msimamo gani kuhusu Corona?
They are a confused gang.Mataga: Chanjo ya korona ni mbaya ndio Maana magufuli aliikataa.
Baada ya Mama Samia kuchanjwa...
Mataga: Chanjo ya korona haina shinda, ni safi kabisa haina madhara.
Mimi pamoja na wananchi wazalendo: Hao ni kasuku wa Lumumba wanacheza kulingana na biti ili wapate buku 7 zao.
kuna wa
kuna wakati wa jakaya wa vyandarua vya msaada vililetwa Tanzania wajuaji wakaanza kusema wazungu wameweka dawa wanataka kutuua
Walipewa madaraka na wananchi au dhalimu alipora uchaguzi na kuwatangaza hao wahuni wenzake kuwa viongozi?
Mkuu, tukiweka pembeni walivyopatikana, katiba inawatambua hao ndio wabunge wanaotoa mawaziri.
HACHA UJINGA WAKO, TUTAJUAJE KAMA IZI WANAZOCHANJWA WENGINE NI SAWA NA ALIYOCHANJWA??Naibu Waziri wa afya Dkt. Mollel amesema chanjo ya Corona ni salama ndio maana Rais Samia mara tu baada ya kuchanjwa aliweza kuendelea na shughuli zake kama kawaida.
Mollel amesema Rais Samia alitoka Ikulu baada ya kuchanjwa na kwenda Lugalo Hospital ambako alifanya ukaguzi na kufungua mradi wa afya kisha akahutubia.
Chanzo: Channel Ten
Huyu is a doctor by merits, kichwani kitaaluma ni mtupu.Kama na wewe ni Dr. basi alie saini cheti chako Cha udaktari akisoma hii post yako,hakianani anajuta Sana huko aliko.sijajua Dr. Molel aliemsainia cheti chake Kama yuko hai,Ila hata Kama Alisha R.i.p hakianani huko aliko marehemu anajuta kusain cheti Cha molel.
Jirani yangu anadai walikuwa pamoja under graduate, anasema project alifanyiwa. Anadai alikuwa bingwa wa vitini.[emoji3][emoji3][emoji3]
Kabisa yaani,
Huyu jamaa ni daktari ila jana hata sababu zake alizokuwa anatoa zilikuwa hazina mashiko kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app