Dkt. Mollel: Hakuna mtanzania anayeupinga Mkataba wa Bandari isipokuwa "Muhuni" mmoja tu wa CHADEMA na tutashughulika naye!

Ama kweli Nyani haoni kundule huyu Molel hana shukrani kabisa, huyo anayemwita muhuni ndiye aliyemwokota mtaani na kumfikisha hapo alipo aache dharau 2025 sio mbali.
 

Dr. Alijizima Data maana anajua anacho kifanya.....

Spin doctor

Personal attack 😊😊🤓😂
 
Hata Boss wake hamuiti Mbowe mhuni. Haka kajamaa kana matatizo makubwa.

Amandla...
 
Wezi, vibaka, waporaji, wanyang'anyi na majambazi wamejifunza na kufundishwa na Chama cha mapinduzi CCM kukemea hawawezi kwa kuwa ndiye mlezi wa haya yote.
 
Sasa MKATABA uliopelekwa bingeni unaitwa Mbowe au maana naona mopasho tu
 
Nape Nnauye tupitishe mkataba huu kwa kishindo ili kutuma Ujumbe" sasa nape kwa akili yako fupi" unadhani una mkomoa Mbowe au Ukoo na kizazi chako?
Anakomoaje ukoo wake wakati yeye ni Mbunge, pia waziri huku mdogo wake ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri?
 
Anakomoaji ukoo wake wakati yeye ni Mbunge, pia waziri huku mdogo wake ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri?
Bado. Ukoo wake upo. Ni mpana. Tuko nao kitaa. Tuta soma nao namba. Mchele tuna nunua nao duka 1.
 
Ukikacheki upara na nywele unaweza kudhani ni kawangaji au kachawi na ule ufupi, na nikama kandezi fulani hivi yaani watu wa siha sijui wanakachukuliaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nape Nnauye tupitishe mkataba huu kwa kishindo ili kutuma Ujumbe" sasa nape kwa akili yako fupi" unadhani una mkomoa Mbowe au Ukoo na kizazi chako?
Hata ana akili sasa?? Ndo maana anababuka uso, mxxiiiieeew zake.
 
kweli yule ni muhuni akilambishwa asali anaunga juhudi mkono, sahivi anakomaa kashaona gape la kudai asali akishailamba tu anawageuka
 
Ndivyo ilivyokuwa. Hawakuwa wanajua chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…