BADala ya kujikita kujadili Mkataba Dongo ni Kwa Mbowe. Yaani maoni ya Mbowe ndiyo yamewakisanya Wote Kwa Posho ya Laki 3 hawana hata Shukrani.Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani
Dkt. Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo
Maelezo hayo yamepuuzwa na Aida wa Chadema
Nawatakia Sabato Njema!
Haya majangili yote yamekabwaMbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani
Dkt. Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo
Maelezo hayo yamepuuzwa na Aida wa Chadema
Nawatakia Sabato Njema!
Mbowe kawanyoosha haswa utadhani Mbowe ndiyo anasaini yeyeBADala ya kujikita kujadili Mkataba Dongo ni Kwa Mbowe. Yaani maoni ya Mbowe ndiyo yamewakisanya Wote Kwa Posho ya Laki 3 hawana hata Shukrani.
Haya ni majangili tupuHao wenye PhD mbona sasa wanajichanganya, Kitila kasema hakuna mkataba hapo kuna makubaliano ya ushirikiano baina ya serikali ya dubai na Tanzania.
Halafu wengine kama Mollel wanasema kuwa hakuna mtanzania anayepinga mkataba wa bandari na Dp sasa ukweli ni upi au na hao wenye PhD hawaelewi wanachojadili?
Ndiyo Turufu Ya Ccm, Tunabaki Kushangaa Wote Ana Akili KweliHuyu ni Dokta kweli?
Dkt Molel yuko sawa ameteleza tu hapo alipitukana wenzake basi.Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani
Dkt. Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo
Maelezo hayo yamepuuzwa na Aida wa Chadema
Nawatakia Sabato Njema!
Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani
Dkt. Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo
Maelezo hayo yamepuuzwa na Aida wa Chadema
Nawatakia Sabato Njema!
Kwani huyu ni Dokta wa nini?Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani
Dkt. Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo
Maelezo hayo yamepuuzwa na Aida wa Chadema
Nawatakia Sabato Njema!
Usafi wa kinywaKwani huyu ni Dokta wa nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usafi wa kinywa
Usomi wa Mollel sanaa tu., ni wale wanaoangalia masirahi tu. Wanajiona hata Nchi ikiuzwa watahamia Ulaya na familia zao, ila hawatakosa kwenye koo zao tutakaotaabika nao.Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani
Dkt. Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo
Maelezo hayo yamepuuzwa na Aida wa Chadema
Nawatakia Sabato Njema!
Msaliti ktk Ubora wakeMbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani
Dkt. Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo
Maelezo hayo yamepuuzwa na Aida wa Chadema
Nawatakia Sabato Njema!
phd ya upumbavu labda.Wewe ndo hujitambua ,molel ana PHD ?
Huyo mwehu Mollel, ni miongoni mwa wabunge majuha. Mpuuzeni.Mbunge wa Siha Dr Mollel amesema Watanganyika wote wanaukubali Mkataba wa Bandari isipokuwa Muhuni mmoja tu ambaye amesababisha Wabunge wa Chadema hawa Wanawake wawe wanashinda mahakamani
Dkt. Mollel ameahidi kushughulika na Muhuni huyo
Maelezo hayo yamepuuzwa na Aida wa Chadema
Nawatakia Sabato Njema!
Kumbe! Naona na yeye mwenyewe amechukua akili za mifugo.Ni doctor wa vertenary, amezoea mifugo Zaidi
Siyo binadamu, wanasema ni daktari wa mbwa, nguruwe, kuku na sungura. Ni daktari wa mifugo.Kukusaidia yule ,daktari wakutibu magonjwa ya binadamu ,sio Phd uliyowazia
Pombe Haina Dawa (PHD)Wewe ndo hujitambua ,molel ana PHD ?