Dkt. Mollel: Hakuna mtanzania anayeupinga Mkataba wa Bandari isipokuwa "Muhuni" mmoja tu wa CHADEMA na tutashughulika naye!

BADala ya kujikita kujadili Mkataba Dongo ni Kwa Mbowe. Yaani maoni ya Mbowe ndiyo yamewakisanya Wote Kwa Posho ya Laki 3 hawana hata Shukrani.
 
Haya majangili yote yamekabwa
 
Haya ni majangili tupu
 
Dkt Molel yuko sawa ameteleza tu hapo alipitukana wenzake basi.
 

Aisee inatia hasira na huyu eti alichaguliwa na wananchi. Utter nosense
 
Kwani huyu ni Dokta wa nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usomi wa Mollel sanaa tu., ni wale wanaoangalia masirahi tu. Wanajiona hata Nchi ikiuzwa watahamia Ulaya na familia zao, ila hawatakosa kwenye koo zao tutakaotaabika nao.
 
Msaliti ktk Ubora wake
Your browser is not able to display this video.
 
Huyo mwehu Mollel, ni miongoni mwa wabunge majuha. Mpuuzeni.

Hao watanzania wanaounga mkono huo mkataba wa kishenzi, ni Watanzania gani?

Kama yeye ameingiwa na uwendawazimu hadi kushabikia mkataba wa kipuuzi, asidhani watanzania wote wamerukwa akili kama yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…