Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Watz watz
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel ambaye pia ni Mbunge, akizungumza na Wananchi.
Tanzania ina watu Wapumbavu mnooooo mnoooo wakiongozwa na CCM
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel ambaye pia ni Mbunge, akizungumza na Wananchi.
Sometimes yes sometimes no. Hamna kitu hapo ni maajabu sana.Huyu ni mzima kweli?
Huyu ndo yuke mpumbavu alisema nguvu za kiume hazina umuhimu? Si ndio huyuhuyu? Eti?
Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.
Kule Chadema mlimuonaje? Mlikuwa nae huyu.Huyu ni mzima kweli?
Huyu ni kilaza
Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.
Ni daktari huyo! Wasomi hawa!!!😂😂😂Huyu ni mzima kweli?
Uzima ataupata wapi huyo anaongea huku sauti ina vibrate kama kapigwa na short ya umeme?Huyu ni mzima kweli?
sasa unaona hicho kichwa kina akili kweli?Huyu ni mzima kweli?
Nchi ya wajinga na mambo ya kijinga.
Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.