LGE2024 Dkt. Mollel: Hii sio kodi yenu, ni CCM ndio imeleta hela

LGE2024 Dkt. Mollel: Hii sio kodi yenu, ni CCM ndio imeleta hela

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.

Ccm inatia huruma sana.. Nilikuwa Manzese kuna mkutano wao kitila mkumbwa hali ni ngumu sana
 

Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.


Ukisha kunywa maji ya kijani tu na akili inalowana moja kwa moja.
Atwambue kodi yetu inafanya nini sasa au tuache kulipa kabisa[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 

Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.

Upumbavu kaanza siku nyingi huyu bwege,alimuombea Magufuli apate corona.
 

Attachments

  • Tapatalk-Download-643653540Tapatalk-Download-4121273421631080852860.mp4
    388.1 KB
Huyo daktari wa meno afya ya akili yake Ina mushkeli! Kama ccm Ina pesa za kujenga miradi na kupeleka maendeleo atuambie hizo Kodi na tozo tunazotozwa zinatumika wapi? Isijekuwa zinaingia kwenye account za wasiojulikana!
Hivi kajiuliza madhara ya hiyo kauli yake? Hajui Kama amehamasisha wananchi wasilipe Kodi Tena kwani ccm Ina pesa za kutosha na kubaki!
Halafu ni naibu waziri anayehimiza wananchi wasilipe Kodi na bado ataachwa kwenye nafasi anayoitumikia! Huu ni uhaini kwa nchi zinazozingatia utawala wa Sheria but bongo mmmh!
 
Hiv huyu ni PHd au dokta wa mifugo?
Huyu ni Mtaalam wa Kinywa na Meno (Dentist). Alishahudumu kwenye Hsp mbalimbali lkn kwa mara ya mwisho kabla hajatimkia kwenye siasa alikuwa Seliani Hosp Ngaramtoni Arusha. Alikuwa na Daktari mzuri sana aliyeweza kuongoza Hosp hiyo iliyokuwa chini ya KKKT Dayosis Mkoani Arusha na kuifanya kuwa na ufanisi mkubwa sana. Hakuwa mwehu kama tunavyomuona kwa sasa.

Huu upuuzi wa uchawa ameanza rasmi alivyotoka Chadema na kwenda kuunga mkono juhudi wakati wa Jiwe. Hapo ndipo alipokabidhi ubongo wake rasmi kwa CCM. Ila 2025 baada ya kupigwa chini atalazimika kudai kurejeshewa ubongo wake.
 
Huyu ni Mtaalam wa Kinywa na Meno (Dentist). Alishahudumu kwenye Hsp mbalimbali lkn kwa mara ya mwisho kabla hajatimkia kwenye siasa alikuwa Seliani Hosp Ngaramtoni Arusha. Alikuwa na Daktari mzuri sana aliyeweza kuongoza Hosp hiyo iliyokuwa chini ya KKKT Dayosis Mkoani Arusha na kuifanya kuwa na ufanisi mkubwa sana. Hakuwa mwehu kama tunavyomuona kwa sasa.

Huu upuuzi wa uchawa ameanza rasmi alivyotoka Chadema na kwenda kuunga mkono juhudi wakati wa Jiwe. Hapo ndipo alipokabidhi ubongo wake rasmi kwa CCM. Ila 2025 baada ya kupigwa chini atalazimika kudai kurejeshewa ubongo wake.
.
 

Attachments

  • 20240824_025055.jpg
    20240824_025055.jpg
    34.7 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1604027510826.jpg
    FB_IMG_1604027510826.jpg
    34.8 KB · Views: 3
Back
Top Bottom