Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Asalaleeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm inatia huruma sana.. Nilikuwa Manzese kuna mkutano wao kitila mkumbwa hali ni ngumu sana
Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.
Taja rangi ya PHd mkuu.Hiv huyu ni PHd au dokta wa mifugo?
😀😀😀😀 phd with FGMHiv huyu ni PHd au dokta wa mifugo?
Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.
Hili jamaa jinga sana limeenda kuwapandikizia ujinga wasiha wajinga wenzakeTanzania ina watu Wapumbavu mnooooo mnoooo wakiongozwa na CCM
Upumbavu kaanza siku nyingi huyu bwege,alimuombea Magufuli apate corona.
Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.
Huyo dentists amekua mzinguaji sana, sema wanaomsikiliza ni mawaki zaidi asee 🤨🤨Mimi hapo huwezi kunikita😄 i would beat the shit out of him. Yani watu wanaimbishwa na upumbavu kabisa eti "sema dkt Mollel Pesa😁"
Hapo wote maiti kifikraHuyo dentists amekua mzinguaji sana, sema wanaomsikiliza ni mawaki zaidi asee 🤨🤨
Bora nikatibiwe na Sangoma kuliko nitibiwe na zezeta kama huyu.Huwezi amini jamaa ni dokta 😁
Huyu ni Mtaalam wa Kinywa na Meno (Dentist). Alishahudumu kwenye Hsp mbalimbali lkn kwa mara ya mwisho kabla hajatimkia kwenye siasa alikuwa Seliani Hosp Ngaramtoni Arusha. Alikuwa na Daktari mzuri sana aliyeweza kuongoza Hosp hiyo iliyokuwa chini ya KKKT Dayosis Mkoani Arusha na kuifanya kuwa na ufanisi mkubwa sana. Hakuwa mwehu kama tunavyomuona kwa sasa.Hiv huyu ni PHd au dokta wa mifugo?
Kwahiyo dokta wa mifugo ndo anafanyaje mkuu.Hiv huyu ni PHd au dokta wa mifugo?
.Huyu ni Mtaalam wa Kinywa na Meno (Dentist). Alishahudumu kwenye Hsp mbalimbali lkn kwa mara ya mwisho kabla hajatimkia kwenye siasa alikuwa Seliani Hosp Ngaramtoni Arusha. Alikuwa na Daktari mzuri sana aliyeweza kuongoza Hosp hiyo iliyokuwa chini ya KKKT Dayosis Mkoani Arusha na kuifanya kuwa na ufanisi mkubwa sana. Hakuwa mwehu kama tunavyomuona kwa sasa.
Huu upuuzi wa uchawa ameanza rasmi alivyotoka Chadema na kwenda kuunga mkono juhudi wakati wa Jiwe. Hapo ndipo alipokabidhi ubongo wake rasmi kwa CCM. Ila 2025 baada ya kupigwa chini atalazimika kudai kurejeshewa ubongo wake.
Madokta Wa Mifugo Hatuna Upuuzi Kiasi HichoHiv huyu ni PHd au dokta wa mifugo?