ngoja ngoja
JF-Expert Member
- Jun 20, 2024
- 673
- 1,526
Huyu na alie mteua ni wapumbavu.
Tazama ujinga anao udhihirisha hapa.
Tazama ujinga anao udhihirisha hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anathibitisha kauli yake aliyowahi kusema ya "Watanzania ni Wajinga Sana"
Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.
Na wamejua hilo, wanazidi kuukoleza ujinga ili waweze kutawalika. Kuamka kwa mtanzania ndio mwisho waoUjinga wa Watanzania na uelewa mdogo ndio mtaji wa wanasiasa.
Katika mikoa ya Kaskazini, hii jamii ya masai ina ma snitch sana. Huyu Mollel ni mfano hai
Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.
Msishangae
Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.
Ukishaona kichwa kimekaa model ile kama yule RC wa Dar es Salaam ujue ni zezeta tu.Si unaona bchw lake lilivyokaa
Ova
HakikaMjinga akipewa mamlaka, werevu wote nao wanakuwa wajinga.
Hawa wameshatuona sisi ni mazezeta, wanatupeleka peleka tu.
Unafiki ni adui mkubwa hili liko wazi.Wa Tz ni wajinga na wana sura mbili (unafki) Hapo kwenye mkutano wanaitika na wanakbaliana na hizo kauli za kipuuzi kama mazombie ila wakienda kwenye vijiwe vya kahawa na kwenye mitandao wanapingana nae bado tuna unafki wa kuogopa kumkabili mtu na kumueleza black & white
Dentist huyuHiv huyu ni PHd au dokta wa mifugo?
Mtu akiwa CCM anakuwa mjinga 100%Kule Chadema mlimuonaje? Mlikuwa nae huyu.
Mkusanye kodi kwa wana CCM halafu tuone nchi mtakavyo ijenga kwa kasi acheni kauli za kuwagawa watu zina gharama hizo kauli zenu za kizembeFriends, ladies and gentlemen,
CCM ndiyo chama Tawala kinacho jenga nchi yetu Tanzania.
Kudumu Chama Cha Mapinduzi 🐒
Ndipo kodi zaidi inakusanywa huko kizalendo zaidi gentleman,Mkusanye kodi kwa wana CCM halafu tuone nchi mtakavyo ijenga kwa kasi acheni kauli za kuwagawa watu zina gharama hizo kauli zenu za kizembe
Mtua anakuwa mjinga kuliko ujinga wenyewe ,Sasa unamchaguaje mtu amabaye hajui hata vyanzo vya Mapato vya serikali yake? Hajui Kodi za wananchi wake? Kweli Kichwa Cha Nyoka hakibebi mzigo
Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.
Wamelogwa akiliWatz watz