Hii zarau ximezidi aisee yaani CCM imetufikisha hapo jamani.na sisi ni mazezeta tu ngoja watunyoshe hakuna mtu anaweza kuhoji mapato na matumizi ya halimashauri yoyote tz wananchii hawajuai fedha zimekuja kiasi gani na zimetumikaje ni siri ya mkurugenzi na madiwani fake wa CCM.