Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Dr ya kusomea si phd
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga wa Watanzania na uelewa mdogo ndio mtaji wa wanasiasa.
Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.
Huyu jamaa nilikuwa namheshimu sana hasa anaposimamaga na mama Gwajima. Kumbe ndio zumbukuku kiasi hiki.
Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.
Ukitazama kauli za wanasiasa kwa wapiga kura wao ndipo unagundua ni kiasi gani wanawaona ni wajinga na wanaweza kuwambia chochote.Huyu jamaa nilikuwa namheshimu sana hasa anaposimamaga na mama Gwajima. Kumbe ndio zumbukuku kiasi hiki.
This sounds more like boasting and pompous character. Haiwezi kuwa campaign.
Kweli tunaishi kwenye jamii ambayo unaweza kuisafisha ubongo muda wowote unapotaka kufanya hivyo
Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.
Upumbavu ni kipaji a.k.a kujizima dataHuyu jamaa nilikuwa namheshimu sana hasa anaposimamaga na mama Gwajima. Kumbe ndio zumbukuku kiasi hiki.
This sounds more like boasting and pompous character. Haiwezi kuwa campaign.
FACTUkitazama kauli za wanasiasa kwa wapiga kura wao ndipo unagundua ni kiasi gani wanawaona ni wajinga na wanaweza kuwambia chochote.
Si kwamba hajui, ila anawaona wote hapo ni wajinga.
Lusungo njoo huku umsikie rafiki yako.
Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.
Huyu ni punda isiyo na akili
Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.
HakikaHuyu ni punda isiyo na akili
Mimi hapo huwezi kunikita😄 i would beat the shit out of him. Yani watu wanaimbishwa na upumbavu kabisa eti "sema dkt Mollel Pesa😁"Ukitazama kauli za wanasiasa kwa wapiga kura wao ndipo unagundua ni kiasi gani wanawaona ni wajinga na wanaweza kuwambia chochote.
Si kwamba hajui, ila anawaona wote hapo ni wajinga.
Kama li chama lao limejifia yeye huo uzima anautoa wapi?Huyu ni mzima kweli?
Friends, ladies and gentlemen,
Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Siha, Dkt. Godwin Mollel akizungumza wakati akiwa katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhamasisha Wananchi wa jimbo hilo kuhusu umuhimu wa kuchagua wagombea wa nafasi za uenyekiti wa mitaa kupitia chama hicho.