gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Uamuzi!?..kaelekezwaUamuzi makini kabisa kutoka kwa Mpango, PhD.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uamuzi!?..kaelekezwaUamuzi makini kabisa kutoka kwa Mpango, PhD.
Mpango Mrundi..... Labda ndio wale Jeshi liliwakataa, Mkuu wa Majeshi akatoa kauli.Mpango mkongo,biteko mtusi
Samia ajiangalie,wangoni wachawi sanaMoshi mweupe kwa Nchimbi urais baada ya Samia.
Mimi mwaka huu nimefikisha miaka 82 na BADO sina MPANGO wa kutaka kupumzikaPadre kaona haelewi elewi
Miaka 68 kaona apumzike lakin kangi lugola miaka 80 bado anataka madaraka zaid
Mkongo,rejea jina la king kii,mwanamuziki marehemuMpango Mrundi..... Labda ndio wale Jeshi liliwakataa, Mkuu wa Majeshi akatoa kauli.
Dotto mama yake ndio mtusi
UraiaYule Mseminari OG, amenyooka
Amebaki mmoja tu mwenye nguvu.Team jiwe wote out
Hapo kuwa ana miaka 68 na anataka aendelee kuishi ina maana kama angeendelea kuwa makamu na hatimaye kuwa mgombea mwenza maisha yake yangekuwa hatarini na yeye bado anataka kuishi. Hii inaashiria kuwa huko CCM kuko kwa moto sana.Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amemwandikia barua ya kuomba apumzike Umakamu wa Rais ambapo amesema baada ya kutafakari ameridhia ombi hilo.
Lakini kwa sasa Dkt. Mpango ataendelea kuwa Makamu wa Rais hadi utakapofanyika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025.
Akiongea leo January 19,2025 kwenye Mkutano Mkuu Maalum Jijini Dodoma, Rais Samia amesema
""Dkt. Philip Mpango ndiye Makamu wa Rais miezi ya karibuni hapa amekuja kuniona kuniomba apumzike, ana sababu kadhaa lakini sio za kazi, anasema yeye sasa ana miaka 68 na angependa kuishi zaidi kwahiyo naomba nipumzisheni.
Nikambishia bishia Wiki iliyopita hapa akanikabidhi barua yangu hii ( ya kujiuzulu?) na barua sikumjibu, nilipoenda kwenye Kamati Kuu nikawaeleza hiyo hali na kwa pamoja wote tukakubali tumpumzishe"
View attachment 3206674
Source: Millard Ayo
We ni mama yao?Mpango mkongo,biteko mtusi
Mpango kapigwa TK-O.
Nadhani arrogance, conservatism na hardline approach imemuondoa.
Au labda ndio wale Mkuu wa Majeshi alisema........ wa nchi jirani
Bado majaliwa aje apigwe tukio pale akae Biteko.
Huko nchi gani mkuu, mpaka dakika hii Kwa hilo tangazo Kigoma ni msiba mkubwa, mambo mengi kawafanyia swali ni je serikali itayamalizia, kuna Hospital ya kanda, chuo kikuu cha kanda, barabara, miradi kibao ya maji na mengine ambayo nimesahau ila hayajakamilikaKwa kipindi chote alichohudumu hiyo nafasi hajaisaidia Kigoma kwa chochote kile wakati wenzie wanajenga Kizimkazi.
Dr Mpango ni mzigo acha apumzike.
Palipo na Mungu wachawi hakuna. Wangoni NI mashujaa, wahehe ni mashujaaSamia ajiangalie,wangoni wachawi sana