Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Unasubiri nini kufa unaishi miaka 82 yanini kazi kunya tu shenziMimi mwaka huu nimefikisha miaka 82 na BADO sina MPANGO wa kutoka kupumzika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasubiri nini kufa unaishi miaka 82 yanini kazi kunya tu shenziMimi mwaka huu nimefikisha miaka 82 na BADO sina MPANGO wa kutoka kupumzika
Sasa kama anaendelea kuwa Makamu hadi mwisho wa awamu hii wanatutangazia ya nini?
Nchi jirani nini...kama iondoeni kigoma isiwe sehemu ya TanzaniaMpango kapigwa TK-O.
Nadhani arrogance, conservatism na hardline approach imemuondoa.
Au labda ndio wale Mkuu wa Majeshi alisema........ wa nchi jirani
Bado majaliwa aje apigwe tukio pale akae Biteko.
Mungu ndiye aliumba uchawiPalipo na Mungu wachawi hakuna. Wangoni NI mashujaa, wahehe ni mashujaa
Mmh bado ule uzi wa tumia akili tunaungalia kwa jicho la tatu.Samia ajiangalie,wangoni wachawi sana
Na baba yake?Mpango Mrundi..... Labda ndio wale Jeshi liliwakataa, Mkuu wa Majeshi akatoa kauli.
Dotto mama yake ndio mtusi
Hakuna cha kuomba hapo, nimchakato wa mda refu huoRais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amemwandikia barua ya kuomba apumzike Umakamu wa Rais ambapo amesema baada ya kutafakari ameridhia ombi hilo.
Lakini kwa sasa Dkt. Mpango ataendelea kuwa Makamu wa Rais hadi utakapofanyika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025.
Akiongea leo January 19,2025 kwenye Mkutano Mkuu Maalum Jijini Dodoma, Rais Samia amesema
""Dkt. Philip Mpango ndiye Makamu wa Rais miezi ya karibuni hapa amekuja kuniona kuniomba apumzike, ana sababu kadhaa lakini sio za kazi, anasema yeye sasa ana miaka 68 na angependa kuishi zaidi kwahiyo naomba nipumzisheni.
Nikambishia bishia Wiki iliyopita hapa akanikabidhi barua yangu hii ( ya kujiuzulu?) na barua sikumjibu, nilipoenda kwenye Kamati Kuu nikawaeleza hiyo hali na kwa pamoja wote tukakubali tumpumzishe"
View attachment 3206674
Source: Millard Ayo
Tukumbuken na sisi vijanaMimi mwaka huu nimefikisha miaka 82 na BADO sina MPANGO wa kutaka kupumzika
Kakataa kuingia kwenye ujinga. NUKTA.Mpango kapigwa TK-O.
Nadhani arrogance, conservatism na hardline approach imemuondoa.
Au labda ndio wale Mkuu wa Majeshi alisema........ wa nchi jirani
Bado majaliwa aje apigwe tukio pale akae Biteko.
Wewe nae hebu tuache bwana.kwa sababu ndiye raisi mtarajiwa naotea hivyo, mtashangaa kitakachofwatia siku zijazo …
Sikweli,,ameisaidia kigoma sana..Rami zinakamilika,,umeme wa gridi..zamani kigoma ilikuwa hali mbaya sanaKwa kipindi chote alichohudumu hiyo nafasi hajaisaidia Kigoma kwa chochote kile wakati wenzie wanajenga Kizimkazi.
Dr Mpango ni mzigo acha apumzike.
Inaonekana ameishi maisha ya amani sana68 hana hata kunyanzi moja usoni!!