Pre GE2025 Dkt. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu Rais akimaliza muda wake, Rais Samia aridhia ombi hilo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mpango kapigwa TK-O.

Nadhani arrogance, conservatism na hardline approach imemuondoa.

Au labda ndio wale Mkuu wa Majeshi alisema........ wa nchi jirani

Bado majaliwa aje apigwe tukio pale akae Biteko.
Nchi jirani nini...kama iondoeni kigoma isiwe sehemu ya Tanzania
Warudishieni warundi au wakongo

Ova
 
✅🟢🟢🟢🟢🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏


Sasa kumekuchaaaaaa, Jogooo limewika Dodomaaaa, Kada wa CCM tumpe kura za ndioooooooooo..!!!

🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿


Hongera sana Mh. Rais Samia, Mwenyekiti na Mgombea wetu wa Urais wa CCM, hongera sana Mh. Balozi Dr. Emanuel Nchimbi, kuwa mgombea mwenza wa Urais wa CCM

Jogoo limewika Dodomaaaa….!!! 🙏🙏🙏🙏🙏🙏👏👏👏👏👏👏👏
 
Hakuna cha kuomba hapo, nimchakato wa mda refu huo
 
Mpango kapigwa TK-O.

Nadhani arrogance, conservatism na hardline approach imemuondoa.

Au labda ndio wale Mkuu wa Majeshi alisema........ wa nchi jirani

Bado majaliwa aje apigwe tukio pale akae Biteko.
Kakataa kuingia kwenye ujinga. NUKTA.
 
Kwa kipindi chote alichohudumu hiyo nafasi hajaisaidia Kigoma kwa chochote kile wakati wenzie wanajenga Kizimkazi.

Dr Mpango ni mzigo acha apumzike.
Sikweli,,ameisaidia kigoma sana..Rami zinakamilika,,umeme wa gridi..zamani kigoma ilikuwa hali mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…