Pre GE2025 Dkt. Mpango aomba apumzike kuwa Makamu Rais akimaliza muda wake, Rais Samia aridhia ombi hilo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwamba jamaa kachoka kula mahela ya walipa kodi yalivo matamu kweli
 
Au labda ndio wale Mkuu wa Majeshi alisema........ wa nchi jirani
Nchi hii ina wakimbizi wengi sana, mwingiliano ni mkubwa sana, tunapishana nao tu mihangaikoni na vitambulisho vyao vya Nida
 
Nchimbi ni Jembe.
Kila mtu hana shaka nae.
 
Kasema hatoendelea, maana yake atamaliza ngwe hii, ila hatipanda majukwaani kuomba kura tena uchaguzi ujao.
 
Hata wazir Mkuu wa Kanada alijiuzuru majuzi lakini bado yupo ofisini mpaka April 2025
 
Nchimbia ameishaajza mauchawi yake
 
Kasema hatoendelea, maana yake atamaliza ngwe hii, ila hatipanda majukwaani kuomba kura tena uchaguzi ujao.
Nani alimwambia ingwe ijayo atapitishwa tena?
Hilo lilihitaji kuandika barua kwa Rais, tena sasa?
Rais alikuwa na sababu yoyote ya kulisema kwetu, tena sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…